DC NDILE AWAITA WAWEKEZAJI KWENDA KUWEKEZA WILAYANI SONGEA

Na Mwandishi Wetu,Songea SERIKALI Wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma imesema,itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na nje ya Nchi watakaohitaji kuwekeza na kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo Wilayani humo. Kauli hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile, baada ya kutembelea shamba la kahawa lenye ukubwa wa zaidi ya hekta…

Read More

KenGold, Kagera Sugar vita nzito Bara

LIGI Kuu Bara inaendelea kupigwa tena leo kwa michezo mitatu katika viwanja na mikoa mbalimbali na itaanzia jijini Mbeya na Dar es Salaam kwa mechi za 10:00 jioni, huku saa 1:00 usiku ikichezwa mchezo mmoja makao makuu ya nchi Dodoma. Kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, KenGold iliyotoka sare ya bao 1-1, ugenini mechi ya mwisho…

Read More

Che Malone asaini kwa masharti Simba

MABOSI wa Simba wamemaliza utata baada ya kudaiwa kumpa mkataba wa miaka miwili beki wa kati raia wa Cameroon, Che Fondoh Malone wenye masharti. Beki huyo amepewa mkataba huo wiki kadhaa tangu Mwanaspoti iliporipoti kuwa, mabosi wa Simba walikuwa wamegawanyika kuhusu kumuongezea beki huyo mkataba mpya au la. Hata hivyo, kwa mujibu wa taarifa kutoka…

Read More

Mahitaji mkojo wa sungura yaongezeka, lita yauzwa Sh19,000

Nairobi. Mahitaji ya mkojo wa sungura yameongezeka kwa kasi huku lita moja ikiuzwa kwa KSh1,000 (Sh19,885) hali inayowavutia wakulima zaidi kuwekeza katika ufugaji wa wanyama hao.  Mbali na nyama ya sungura kuuzwa kwa kati ya KSh1,000 (Sh19,885 na KSh2,000 (Sh39,790) kwa kilo, wakulima sasa wanapata faida kutokana na mkojo wa mnyama huyo, ambao hutumika kama…

Read More

Xavi aanika siri za Elie Mpanzu

KOCHA anayefundisha mazoezi binafsi, Mohammed Mrishona maarufu kama ‘Xavi’ amefichua kile anachokifanya kiungo mshambuliaji wa Simba, Ellie Mpanzu anayejifua chini yake kwenye Uwanja wa Bora, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, akisema atawashangaza kwa mambo mawili anayoyafanya. Simba ilimtambulisha Mpanzu, Septemba 2024 kabla ya kuanza kumtumia mwezi uliopita kupitia dirisha dogo na hadi sasa amecheza mechi…

Read More

MAMA ALIWA NA MAMBA NAMTUMBO

Na Yeremias Ngerangera…..Namtumbo Mama Mmoja aitwaye Mwajibu ALifa (58) Mkazi wa kitongoji Cha Muungano katika Kijiji Cha Mtonya Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma alikamatwa na mamba siku ya jumapili katika mto Luegu alipoenda kuchota maji ya kunywa na Kisha kutokomea Naye ndani ya maji . Diwani wa kata ya Likuyu Kassimu Gunda alisema msako wa wananchi…

Read More

Polisi, Stein zatua Ligi ya kikapu Dar es Salaam

MAJUZI ilikuwa ni furaha kwa wachezaji wa Polisi baada ya kuifunga Stein Warriors kwa pointi 64-60 katika fainali ya Ligi ya Kikapu ya Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam iliyopigwa katika Uwanja wa Donbosco, Oysterbay, Dar es Salaam. Hata hivyo, licha ya Polisi na Stein Warriors kucheza  fainali hiyo tayari zimeshafuzu kucheza Ligi…

Read More

Mbunge wa Malava afariki akipatiwa matibabu Aga Khan

Nairobi. Mbunge wa Malava katika Kaunti ya Kakamega, Kenya, Moses Injendi amefariki dunia wakati akipatiwa na matibabu katika Hospitali ya Aga Khan, Nairobi. Hayo yamethibitishwa na Spika wa Bunge Moses Wetang’ula jana Jumatatu Februari 17, 2025 bungeni “Waheshimiwa wabunge kwa huzuni ninawaarifu kuhusu kifo cha mwenzetu mheshimiwa Moses Malulu Injendi ambaye alituacha leo jioni (jana)…

Read More