Uingereza kuendelea kutoa misaada baada ya Marekani kusitisha

Dar es Salaam. Wakati Serikali ya Marekani chini ya Rais Donald Trump ikikata misaada yake kwa mataifa mengine, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Marianne Young, amesema nchi yake itaendelea kutoa misaada ya kimaendeleo na kibinadamu kama sehemu muhimu ya ushirikiano wa kimataifa. Balozi Young amebainisha hayo wakati wa mahojiano maalumu na Mwananchi leo Jumatatu, Februari…

Read More

DC SAME AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI KUTOA USHIRIKIANO KWA MAAFISA WA SERIKALI.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni, amewataka wasimamizi wa miradi inayoendelea kujengwa ndani ya wilaya hiyo kushirikiana na maafisa wa serikali wanapofanya ziara za ukaguzi. Amesisitiza kuwa ziara hizo zina lengo la kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa kuzingatia ubora, thamani ya fedha, na kasi inayotakiwa ili kuepusha ubadhilifu na…

Read More

Wanadamu wanasisitiza hitaji la msaada wa haraka na endelevu huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Ocha Alitaja Wizara ya Afya ya Gaza ambayo ilisisitiza kwamba vifaa vya oksijeni vinahitajika sana kuweka dharura, huduma za upasuaji na huduma kubwa zinazoendesha hospitalini, pamoja na hospitali za Al Shifa na Al Rantisi katika Jiji la Gaza. “Washirika wa Afya wanajishughulisha na viongozi kuleta jenereta, sehemu za vipuri na vifaa vinavyohitajika kutengeneza oksijeni ndani…

Read More

Sheikh aeleza mbinu kuzifanya ‘ndoa za uji’ zidumu

Morogoro. Shinikizo la kusaka uhalali wa ibada ya funga katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuchochea ndoa nyingi zinazofungwa unapokaribia au wakati wa mwezi huo. Wasiwasi huo unapigiwa msitari na Sheikh wa Mkoa wa Morogoro, Twaha Kilango, kuwa aghalabu ndoa hizo maarufu kama za uji, huwa hazidumu. Kwa sababu ya uhalisia…

Read More

Unamjua mwalimu wa mtoto wako?

Ni mara kadhaa nimekutana na wazazi wanaolalamika kwamba anatumia fedha nyingi kulipa ada lakini mtoto wake hafanyi vizuri na wengine wanapoteza kabisa uelekeo kwenye elimu. Kilio cha wengi ni kwamba natafuta hela kwa jasho ila zinaishia kupotea maana huyu mtoto hana anachoingiza kichwani na walimu wake wameshindwa kabisa kumsaidia. Malalamiko haya yamenifanya leo nizungumze na…

Read More

Haya yakifanyika wasichana watatamba kwenye sayansi

Dodoma. Takwimu za elimu na ajira duniani zinaonesha kuwa ushiriki wa wanawake na wasichana katika elimu na ajira kwenye fani za sayansi ni mdogo ikilinganishwa na ushiriki wa wanaume. Machi mwaka 2023, Rais wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET), Gema Modu alisema bado idadi ya wanawake wataalamu katika fani ya uhandisi ni wachache, jambo linalochagiza…

Read More

Mzazi unamjua mwalimu wa mwanao?

Ni mara kadhaa nimekutana na wazazi wanaolalamika kwamba anatumia fedha nyingi kulipa ada lakini mtoto wake hafanyi vizuri na wengine wanapoteza kabisa uelekeo kwenye elimu. Kilio cha wengi ni kwamba natafuta hela kwa jasho ila zinaishia kupotea maana huyu mtoto hana anachoingiza kichwani na walimu wake wameshindwa kabisa kumsaidia. Malalamiko haya yamenifanya leo nizungumze na…

Read More

Sababu theluji kupungua Mlima Kilimanjaro – 1

Kilimanjaro. Desemba, 2024, nilipanda Mlima Kilimanjaro, ambao theluji yake inapungua kadri miaka inavyosonga. Sababu kubwa ikitajwa ni mabadiliko ya tabianchi, na baadhi ya watu wanahusisha na matukio ya moto mlimani. Safari ilianza Marangu ambako nilikatiza msitu wenye miti mingi ya asili (msitu mnene). Kulingana na msimu, kulikuwa na mvua. Kutoka Mandara, niliingia eneo la uwanda wa…

Read More