DKT.BITEKO AIPONGEZA EWURA KULETA UTULIVU KWENYE NISHATI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko,akizungumza wakati akifungua kikao cha nne cha Baraza la Pili la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kinachofanyika jijini Tanga. -Aipongeza kusimamia kwa ufanisi upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini -Asema imerahisisha mazingira ya uwekezaji kwenye vituo vya mafuta…

Read More

Besigye apelekwa hospitali, akigoma kula gerezani

Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, aliyegoma kula wiki iliyopita, amekimbizwa hospitali baada ya afya yake kuzorota, amesema mbunge na mtangazaji wa televisheni nchini humo. Mpinzani huyo wa muda mrefu wa kisiasa na mkosoaji wa Rais Yoweri Museveni, amekuwa kizuizini katika kituo cha ulinzi wa hali ya juu katika mji mkuu wa Kampala tangu…

Read More

Dk Biteko atoa maagizo Ewura, asifu utekelezaji wa kazi

Tanga. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameutaka uongozi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), kuhakikisha upatikanaji endelevu wa mafuta kwa gharama halisi, kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya sheria, na kushughulikia malalamiko ya wateja kwa haraka ili kuboresha huduma kwa Watanzania. Dk Biteko ametoa maagizo…

Read More

MAKAMU WA RAIS AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU NKONDO

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na mwenza wake Mama Mbonimapaye Mpango wameifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bw. Johnson Nkondo aliyekuwa Msaidizi wa Ofisi Mkuu – Ofisi ya Makamu wa Rais aliyefariki tarehe 13 Februari 2025 katika Hospitali ya Benjamini Mkapa mkoani Dodoma…

Read More

WANANCHI WAASWA KUKOPA KWENYE VIKUNDI VILIVYOSAJILIWA

    Na. Eva Ngowi, WF, KILIMANJARO Serikali imewaasa wananchi kuepuka kukopa fedha kwenye Taasisi ama vikundi vinavyotoa huduma za kifedha bila kusajiliwa rasmi kwa mujibu wa sheria ili kuepuka athari zinazoambatana na mikopo umiza. Tahadhari hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Vijijini Bw. Shadrack Mhagama, katika kikao kilichofanyika ofisini kwake…

Read More

Kipindupindu chaua wawili Mara, RC atoa maagizo kwa Ma-DC

Musoma. Watu wawili wamefariki dunia, huku wengine 140 wakiugua ugonjwa wa kipindupindu katika Wilaya za Musoma na Rorya, mkoani Mara. Ugonjwa huo umeibuka katika wilaya hizo tangu Januari 23, 2025, huku chanzo kikuu kikitajwa kuwa ni matumizi hafifu ya vyoo safi na salama katika maeneo yaliyoathiriwa na ugonjwa huo. Hayo yamesemwa leo, Jumatatu, Februari 17,…

Read More

Mabadiliko ya sheria yapendekeza NHC ipewe ruzuku

Dar es Salaam. Serikali imependekeza kufanya mabadiliko ya vifungu 20 vya Sheria ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Sura ya 295 ili kutatua changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wake. Miongoni mwa maeneo yaliyoguswa ni kuongeza ruzuku kama chanzo cha mapato cha NHC, mwajiri kuondolewa uwezo wa kukata kiasi cha pesa kama kodi ya nyumba…

Read More