
Wanaotoa mikopo umiza ujumbe wenu huu hapa
Geita. Serikali imezitaka kamati za ulinzi na usalama kuwachukulia hatua kali wale wanaotoa mikopo bila kuwa na leseni, pamoja na kuwanyang’anya leseni hizo wote wanaotoa mikopo bila kuzingatia masharti na kuwaumiza wananchi. Mikopo hiyo, ambayo imepachikwa majina mengi ikiwemo kausha damu, komandoo, pasua moyo, kichefuchefu na mengine mengi, imekuwa ikitajwa kuwa chanzo cha kufilisika, kujiua,…