
Sababu barafu kupungua Mlima Kilimanjaro – 1
Kilimanjaro. Desemba, 2024, nilipanda Mlima Kilimanjaro, ambao barafu yake inapungua kadri miaka inavyosonga. Sababu kubwa ikitajwa ni mabadiliko ya tabianchi, na baadhi ya watu wanahusisha na matukio ya moto mlimani. Safari ilianza Marangu ambako nilikatiza msitu wenye miti mingi ya asili (msitu mnene). Kulingana na msimu, kulikuwa na mvua. Kutoka Mandara, niliingia eneo la uwanda…