Sababu barafu kupungua Mlima Kilimanjaro – 1

Kilimanjaro. Desemba, 2024, nilipanda Mlima Kilimanjaro, ambao barafu yake inapungua kadri miaka inavyosonga. Sababu kubwa ikitajwa ni mabadiliko ya tabianchi, na baadhi ya watu wanahusisha na matukio ya moto mlimani. Safari ilianza Marangu ambako nilikatiza msitu wenye miti mingi ya asili (msitu mnene). Kulingana na msimu, kulikuwa na mvua. Kutoka Mandara, niliingia eneo la uwanda…

Read More

Hivi ndivyo Kariakoo ya saa 24 itakavyokuwa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku 10 eneo la kibiashara Karikaoo jijini hapa kuanza kufanya kazi saa 24, wafanyabiashara wameeleza namna walivyojiandaa ukiwamo ushiriki katika ulinzi, usalama wao na wa wateja. Januari 30, 2025 akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Mkuu wa Mkoa Dar es Salam, Albert Chalamila alisema uzinduzi rasmi wa kufanyika biashara…

Read More

Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 145 za mirungi

Dar es Salaam. Said Ndomboloa na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina mirungi zenye uzito wa kilo 145.20. Mbali na Ndombokoa, washtakiwa wengine ni Hamisi Ndomboloa na Amor Seiph. Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Februari 17, 2025, na kusomewa mashtaka…

Read More

Mziki wa Samatta wamkuna kocha PAOK

KOCHA wa PAOK, Razvan Lucescu, ameonyesha kuridhishwa na kiwango cha sasa cha mshambuliaji wake na nahodha wa Taifa Stars,  Mbwana Samatta ambaye amefunga mabao manne na kutoa asisti moja katika michezo mitatu iliyopita na mashindano yote ikiwemo Europa League. Samatta aliyeanza kuonyesha makali kuanzia Februari 8 katika mchezo wa Ligi Kuu Ugiriki ‘Super League’ dhidi…

Read More

Maalim Seif  Kuombewa Dua Leo  – Global Publishers

“Ndugu wananchi wa Zanzibar na Watanzania kwa ujumla, kwa masikitiko makubwa nakujulisheni leo tarehe 17 Februari, 2021, majira ya saa tano asubuhi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki dunia.” Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akitangaza kifo cha Maali…

Read More

Ratiba za ndege zafuta mechi za usiku Jamhuri

BILA shaka umewahi kushuhudia mechi za Ligi Kuu zinazopigwa usiku Uwanja wa Jamhuri, Dodoma zikisimamishwa kwa taa kuzimwa ikielezwa ni kupisha ndege zinazopaa na kushuka Uwanja wa Ndege wa Dodoma, basi Bodi ya Ligi (TPLB) imekata mzizi wa fitina kwa kuzifuta mechi hizo. Bodi ya ligi imeamua kuzifuta mechi zote za usiku zilizokuwa zikipigwa siku…

Read More

TCAA yaonya matumizi mabaya ya ‘drones’

Moshi. Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema kumekuwepo na matumizi mabaya ya ndege zisizo na rubani (drones), hali ambayo inatishia usalama wa anga. Amesema licha ya teknolojia hiyo kuwa nzuri na muhimu, bado kumekuwepo na baadhi ya watu, ikiwemo waandishi wa habari, kuitumia vibaya kinyume cha sheria. Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Salim Msangi,…

Read More

Kamati ya Waziri Jafo wageni Kariakoo yafikia asilimia 50

   …Yaaendelea kuwahoji wafanyabiashara Na Mwandishi Wetu KAMATI iliyoundwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo kuchunguza wafanyabiashara wa kigeni maeneo ya Kariakoo imefikia asilimia 50 ya uchunguzi wake na imeahidi kukabidhi ripoti hiyo Machi 2 kama ilivyoagizwa. Februari 2 Waziri Jafo aliunda Kamati ya watu 15 kuchunguza wafanyabiashara wa kigeni eneo la…

Read More