
Afrika Kuwa Na Mwakilishi Baraza La Usalama UN – Global Publishers
Last updated Feb 17, 2025 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) amesema sio sawa kwa bara la Afrika kutokuwa na kiti cha mwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na ameahidi kufanya kazi na Umoja wa Afrika…