Kifungu hiki hakitawaacha salama makada wa CCM

Kuna methali isemayo asiyesikia la Mkuu huvunjika guu na hiki ndicho kinaenda kuwakuta makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), walioanza mapema kampeni na harakati za kuwania ubunge na udiwani, licha ya chama kuonya juu ya hilo. Ama kwa kutokujua, kupuuza au kujiaminisha liwalo na liwe, hawakuwa wanasoma vifungu vya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi…

Read More

Wasiwasi, usalama wa wanafunzi vyoo kuwa mbali na shule

Dar es Salaam. Wazazi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Tabata, wilayani Ilala, jijini Dar es Saalam wameonesha wasiwasi kuhusu usalama wa watoto wao wanaolazimika kuvuka barabara kufuata huduma ya vyoo. Wanafunzi hulazimika kutembea umbali wa takribani mita 30 kufuata vyoo vilivyo nje ya eneo la shule, wakivuka barabara katika Mtaa wa Tabata Shule. Barabara…

Read More

Bondia mchinja kuku na kisa cha kupigwa Uganda

Katika maisha kila binadamu anapitia mkasa wake apitia haso zake katika kitabu cha maisha yake kama ilivyokuwa kwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Ramadhan Ramadhani lakini jina lake la utani akijulikana kama Chicho na wengi humuita Rama Chicho. Rama Chicho ambaye anatokea katika mitaa ya Manzese siyo mgeni katika majukwaa ya mchezo wa ngumi…

Read More

Samatta awachonganisha mashabiki, viongozi PAOK

Miezi minne kabla ya mkataba wake na PAOK kumalizika, mshambuliaji Mbwana Samatta ameanza kuichonganisha timu hiyo na mashabiki wake. Moto ambao ameanza kuuwasha katika mechi za hivi karibuni, unaweza kubadilisha mawazo ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Ugiriki tofauti na ilivyokuwa mwanzoni mwa msimu. Kabla ya msimu kuanza, Samatta alikuwa ni miongoni mwa wachezaji…

Read More

Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa Usafirishaji watia neno.

Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa magari ya ISUZU, yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa jijini Dodoma huku yakionesha kuwavutia wabunge na wadau mbalimbali wa sekta ya uchukuzi nchini waliofanikiwa kutembelea maonesho hayo. Maonyesho hayo yalifanyika katika viunga vya Akachube…

Read More

WASANII WA FILAMU,WANAHABARI WAZAWA WA MKOA WA TANGA WATUA KUHAMASISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA KUPIGA KURA

Na Oscar Assenga, TANGA MABALOZI 23 wa Mkoa wa Tanga unaoundwa na Wasanii wa Filamu,Waandishi pamoja na watangazaji wametua Jijini Tanga kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la Kupiga kura . Akizungumza katika kikao na waandishi wa habari leo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama…

Read More

Kilio cha wazazi vyoo kuwa mbali na shule

Dar es Salaam. Wazazi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Tabata, wilayani Ilala, jijini Dar es Saalam wameonesha wasiwasi kuhusu usalama wa watoto wao wanaolazimika kuvuka barabara kufuata huduma ya vyoo. Wanafunzi hulazimika kutembea umbali wa takribani mita 30 kufuata vyoo vilivyo nje ya eneo la shule, wakivuka barabara katika Mtaa wa Tabata Shule. Barabara…

Read More

Sababu wanawake kupenda kuwazawadia soksi, singlendi na ‘boxer’ wapenzi wao

Dar es Salaam. Je, umewahi kufikiria ni sababu zipi zinawasababishia baadhi ya wanawake kupendelea kuwanunulia wapenzi wao singlendi, soksi au nguo za ndani ‘boxer’ wanapotaka kuwapa zawadi? Kwa mujibu wa wanawake mbalimbali waliozungumza na Mwananchi, wanadai unafuu wa gharama, urahisi wa upatikanaji pamoja na umuhimu wake kwa mwanaume ni miongoni mwa sababu zinazowasukuma wakimbilie kuwanunulia…

Read More