Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba ametoa onyo kwa wanaojihusisha, kuendelea kufanya biashara ya upatu akisema shughuli hizo ni
Day: March 4, 2025

Siku tano baada ya Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kufungiwa, uongozi wa Tabora United umeuchagua Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kwa mechi yake ya

Dodoma. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeweka vipandikizi maalumU kwenye uume (Penile Implantation), kwa wanaume watano wenye changamoto za nguvu za kiume. Huduma hiyo ilianzishwa

Morogoro. Mabadiliko na maendeleo ya teknolojia yamekuja na faida na hasara zake katika maisha ya kila siku ya mwanadamu. Hilo limezilamu mamlaka nazo kuhakikisha zinakwenda

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imezindua fomu mpya ya uandikishaji kwa watoto wachanga wanaolazwa ‘register’ ikiwa ni mkakati wa kupambana na vifo vya watoto

Dodoma. Watanzania 19,371 wameajiriwa kwenye kampuni za uchimbaji wa madini katika kipindi cha kati ya mwaka 2021/22 hadi Januari mwaka 2025. Hayo yamesemwa leo, Jumanne

Simiyu. Mwanafunzi wa kike wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Mwasamba iliyopo wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, Mhoja Maduhu (18) amefariki dunia baada

Farida Mangube, Morogoro WATU watatu wamefariki Dunia mkoani Morogoro kutokana na ajali ya magari mawili ya mizigo kugongana na kuteketea kwa moto. Kamanda wa polisi

Jeshi la Polisi wa Kiislamu (Hisbah) katika Jimbo la Kaskazini Nigeria la Kano, wamewakamata waumini wa dini ya Kiislamu waliokutwa wakila hadharani

Kaimu Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Shukrani Dickson ( wa pili kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha vifaa