Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: March 4, 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • 4
Habari

BoT yaonya tena biashara ya upatu

March 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba ametoa onyo kwa wanaojihusisha, kuendelea kufanya biashara ya upatu akisema shughuli hizo ni

Read More
Michezo

Tabora United yaipeleka JKT Tanzania CCM Kirumba

March 4, 2025 Admin

Siku tano baada ya Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kufungiwa, uongozi wa Tabora United umeuchagua Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kwa mechi yake ya

Read More
Habari

Watano wawekewa vipandikizi maalumu kwenye uume

March 4, 2025 Admin

Dodoma. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeweka vipandikizi maalumU kwenye uume (Penile Implantation), kwa wanaume watano wenye changamoto za nguvu za kiume. Huduma hiyo ilianzishwa

Read More
Habari

Ukimposti mtu mwenye ‘birthday’ bila ruhusu yake faini Sh100 milioni 

March 4, 2025 Admin

Morogoro. Mabadiliko na maendeleo ya teknolojia yamekuja na faida na hasara zake katika maisha ya kila siku ya mwanadamu. Hilo limezilamu mamlaka nazo kuhakikisha zinakwenda

Read More
Habari

Mkakati mpya utakavyopunguza vifo vya watoto wachanga

March 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imezindua fomu mpya ya uandikishaji kwa watoto wachanga wanaolazwa ‘register’ ikiwa ni mkakati wa kupambana na vifo vya watoto

Read More
Habari

Sekta ya madini yaajiri Watanzania 19,000 tangu 2021

March 4, 2025 Admin

Dodoma. Watanzania 19,371 wameajiriwa kwenye kampuni za uchimbaji wa madini katika kipindi cha kati ya mwaka 2021/22 hadi Januari mwaka 2025. Hayo yamesemwa leo, Jumanne

Read More
Habari

Mwanafunzi afariki akidaiwa kuchwapwa, kukanyagwa kichwani na mwalimu

March 4, 2025 Admin

Simiyu. Mwanafunzi wa kike wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Mwasamba iliyopo wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, Mhoja Maduhu (18) amefariki dunia baada

Read More
Habari

WATU WATATU WATEKETEA KWA MOTO BAADA YA MALORI KUGONGANA USO KWA USO NA KUWAKA MOTO

March 4, 2025 Admin

Farida Mangube, Morogoro WATU watatu wamefariki Dunia mkoani Morogoro kutokana na ajali ya magari mawili ya mizigo kugongana na kuteketea kwa moto. Kamanda wa polisi

Read More
Habari

20 Wakamatwa Kwa Kula Mchana Mwezi Wa Ramadhan – Global Publishers

March 4, 2025 Admin

Jeshi la Polisi wa Kiislamu (Hisbah) katika Jimbo la Kaskazini Nigeria la Kano, wamewakamata waumini wa dini ya Kiislamu waliokutwa wakila hadharani

Read More
Habari

WORLD VISION TANZANIA YAKABIDHI VIFAA VYA KILIMO, UFUGAJI NYUKI NA LISHE VYA MILIONI 97.6 SHINYANGA

March 4, 2025 Admin

Kaimu Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Shukrani Dickson ( wa pili kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha vifaa

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.