BoT yaonya tena biashara ya upatu

Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba ametoa onyo kwa wanaojihusisha, kuendelea kufanya biashara ya upatu akisema shughuli hizo ni haramu kwani zinafanyika pasipokuwa na uwiano wa shughuli za kiuchumi. Tutuba anayasema hayo wakati baadhi ya watu wakitiwa nguvuni na Jeshi la Polisi kutokana na kujihusisha na biashara hiyo bila…

Read More

Tabora United yaipeleka JKT Tanzania CCM Kirumba

Siku tano baada ya Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kufungiwa, uongozi wa Tabora United umeuchagua Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kwa mechi yake ya nyumbani dhidi ya JKT Tanzania, Machi 7, 2025. Taarifa ya Tabora United imefafanua kuwa timu hiyo inahamia CCM Kirumba huku uongozi wake ukiendelea na juhudi za kuuboresha Uwanja wa Ali…

Read More

Watano wawekewa vipandikizi maalumu kwenye uume

Dodoma. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeweka vipandikizi maalumU kwenye uume (Penile Implantation), kwa wanaume watano wenye changamoto za nguvu za kiume. Huduma hiyo ilianzishwa Juni mwaka 2023, gharama yake ikiwa ni kati ya Sh6 milioni hadi Sh10 milioni, tofauti na nje ya nchi ambapo inatozwa hadi Sh50 milioni. Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Profesa…

Read More

Mkakati mpya utakavyopunguza vifo vya watoto wachanga

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imezindua fomu mpya ya uandikishaji kwa watoto wachanga wanaolazwa ‘register’ ikiwa ni mkakati wa kupambana na vifo vya watoto wachanga. Kabla ya uwepo wa register hiyo, taarifa za watoto wachanga zilikuwa zikiandikishwa katika kadi la mama mjamzito au register za wagonjwa wanaolazwa ambao ni watu wazima, hivyo kukosa taarifa…

Read More

Sekta ya madini yaajiri Watanzania 19,000 tangu 2021

Dodoma. Watanzania 19,371 wameajiriwa kwenye kampuni za uchimbaji wa madini katika kipindi cha kati ya mwaka 2021/22 hadi Januari mwaka 2025. Hayo yamesemwa leo, Jumanne Machi 4,2025 na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Ramadhani Lwamo alipokuwa akielezea mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita na mwelekeo wa tume hiyo. “Tume ya…

Read More