Ken Gold yabanwa Sokoine, mashabiki watawanywa na polisi

 Ken Gold imeshindwa kujinasua mkiani baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mashujaa, huku mashabiki wa timu hiyo wakionekana kuvurugwa na matokeo hayo. Baada ya mchezo kumalizika, mashabiki walijikusanya katika geti kubwa wakionyesha  kutofurahishwa na matokeo hayo hadi Polisi walipowatawanya. Katika mchezo huo ambao umepigwa Uwanja wa Sokoine, Ken Gold ilionekana kuwa na…

Read More

Kulala mahabusu adhabu wanaopita barabara za mwendokasi

Dar es Salaam. Kwa wenye haraka wanaolazimisha kutumia barabara za Mabasi yaendayo Haraka (BRT) za mradi wa awamu ya kwanza wakikamatwa na polisi watarajie kutozwa faini, kulala mahabusu, kisha kufikishwa mahakamani. Baadhi ya madereva wa magari ya Serikali na binafsi tayari wameshaadhibiwa kwa nyakati tofauti walipopita katika barabara za BRT Morogoro, Kawawa hadi Morocco. Adhabu…

Read More