‘Ziara bosi wa Unesco kuiletea neema Tanzania’

Unguja. Ziara ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco), Audrey Azoulay imetajwa kuleta neema Tanzania kwa shirika hilo kuongeza utaalamu na msaada wa kifedha kusaidia maeneo ya urithi wa dunia. Tangu Machi mosi, Mkurugenzi huyo  amefanya ziara Tanzania bara na Zanzibar kwa kukutana na viongozi wakuu wa nchi…

Read More

Songo, wenzake kutibu mtihani huu JKT Tanzania

Mshambuliaji wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema yeye na wenzake katika eneo la ushambuliaji wameshajua tatizo lililopo la ufungaji wa mabao ambalo benchi la ufundi limelifanyia kazi na sasa litapatiwa tiba. JKT Tanzania inashika nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na alama 27 katika michezo 22, ikishinda sita, sare tisa na…

Read More

DKT. SAMIA KUISUKA UPYA MUHIMBILI KWA TZS. 1.2 TRILIONI -MIPANGO YAIVA NA HUDUMA ZOTE ZITATOLEWA NDANI YA JENGO MOJA

Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda 1,757 kutoka 1,435 vya sasa ambapo mradi huo utagharimu USD .468 Mil (takribani TZS. 1.2 Trilioni) ambapo kati ya fedha hizo USD.364 Mil zitatoka Korea Kusini na Serikali ya Tanzania itachangia USD. 104…

Read More

Rais wa TWCC Atoa Wito kwa Wanawake na Vijana Wafanyabiashara Kushirikiana Katika Biashara

Baadhi ya Wanawake na Vijana wakiwa kwenye mafunzo kuwawezesha manunuzi ya umma. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv RAIS wa Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), Mwajuma Hamza, ametoa wito kwa wanawake na vijana wafanyabiashara kushirikiana na kupeana kazi pale wanapopata tenda za kufanya.  Hayo ameyasema leo Machi 6, 2025  jijini Dar es Salaam, Akifungua mafunzo ya…

Read More

Lawi maji ya shingo Coastal

BEKI wa Coastal Union, Lameck Lawi amesema huu ni msimu dume kwake na timu kwa ujumla lakini wanapambana kuhakikisha msimu ujao wanacheza tena ligi kwa ubora zaidi. Coastal ipo nafasi ya tisa katika msimamo baada ya mechi 22, ikishinda tano, sare tisa na kupoteza mara nane ipo nafasi ya kumi kwenye timu iliyoruhusu nyavu zake…

Read More