TUME YA USHINDANI FCC KWA KUSHIRIKIANA NA FCS WAMEZINDUA MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI ZA MLAJI DUNIANI
Tume ya Ushindani FCC kwa kushirikiana na Shirika la The Foundation For Civil Society FCS wamezindua maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za Mlaji Duniani, yanayotarajiwa kufanyika kitaifa Machi 17, 2025 Jijini Dar es Salaam, ambapo mgeni rasmi anatajiwa Waziri wa Viwanda na Biashara DKt. Selemani Jafo. Maadhimisho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Haki na…