UKWELI KUHUSU UMEME KUTOKA KENYA

Baada ya kauli ya Rais Samia ya kununua umeme kutoka Kenya, kumeibuka mjadala mkali. Nimemtafuta mtaalamu serikalini afafanue. Naye ameniambia hivi: Ununuzi wa umeme kutoka Kenya kwa ajili ya mikoa ya kaskazini ya Tanzania unaweza kusababishwa na sababu kadhaa za kiufundi, kiuchumi, na kimkakati, licha ya uwepo wa vyanzo vya ndani kama Mtera, Kidatu, na…

Read More

Wanafunzi wanaodaiwa kumlawiti mwenzao waendelea kuhojiwa

Kibaha. Wanafunzi wawili kutoka Miono, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, wanaendelea kufanyiwa mahojiano na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzao wakiwa wanacheza usiku. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase, leo Jumapili, Machi 9, 2025, wanafunzi hao wanadaiwa kutekeleza kitendo hicho hivi karibuni usiku,…

Read More

Utelekezaji familia: Tatizo ni mwanamke au mwanamume?

Mwanza.  Tatizo la utelekezaji wa familia limeendelea kuwa mjadala usio na jawabu la moja kwa moja, huku pande zote mbiliwanaume na wanawake zikirushiana lawama. Kila kundi lina sababu zake, likidai kuwa upande mwingine ndio chanzo cha changamoto hii inayozidi kuathiri jamii. Wanawake wanaamini kuwa mzigo wa lawama unapaswa kubebwa na wanaume, wakidai kuwa wao ndio…

Read More