Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: March 9, 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • 9
Michezo

Yanga yadai pointi tatu dhidi ya Simba, yakazia kutoshiriki mchezo utakaopangwa

March 9, 2025 Admin

Yanga imetoa msimamo mzito ikisema haitakubali kurudiana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara namba 184 huku ikidai pointi tatu baada ya mpinzani kushindwa

Read More
Kimataifa

Tume juu ya Hali ya Wanawake na Kwa nini Inajali – Maswala ya Ulimwenguni

March 9, 2025 Admin

Tume ya kila mwaka ya UN juu ya Hali ya Wanawake (CSW) hukutana kushughulikia usawa ulioenea, vurugu na ubaguzi wanawake wanaendelea kukabili ulimwenguni. Mwaka huu,

Read More
Habari

Padri asimulia safari ya jimbo jipya Bagamoyo, alivyotokwa machozi

March 9, 2025 Admin

Bagamoyo. “Nilitokwa machozi ya furaha, sikutarajia jambo hili, maana tulisubiri kwa muda mrefu, lakini wakati wa Mungu ni wakati sahihi, tumshukuru yeye kwa hilo.” Haya

Read More
Habari

UKWELI KUHUSU UMEME KUTOKA KENYA

March 9, 2025 Admin

Baada ya kauli ya Rais Samia ya kununua umeme kutoka Kenya, kumeibuka mjadala mkali. Nimemtafuta mtaalamu serikalini afafanue. Naye ameniambia hivi: Ununuzi wa umeme kutoka

Read More
Habari

NMB na Nelson Mandela kushirikiana kukuza vipaji vya teknolojia ya kidijitali

March 9, 2025 Admin

Arusha. Benki ya NMB imeingia makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ya Afrika (NM-AIST) ili kukuza maendeleo ya vipaji

Read More
Habari

Wanafunzi wanaodaiwa kumlawiti mwenzao waendelea kuhojiwa

March 9, 2025 Admin

Kibaha. Wanafunzi wawili kutoka Miono, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, wanaendelea kufanyiwa mahojiano na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzao wakiwa

Read More
Habari

Wanawake Stamico wahamasisha matumizi ya nishati rafiki Briquetts

March 9, 2025 Admin

Dar es Salaam. Shirika la Madini la Taifa (Stamico) limesema litaendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ili kuwa na watu wengi wanaotumia nishati hiyo. Lengo

Read More
Habari

Utelekezaji familia: Tatizo ni mwanamke au mwanamume?

March 9, 2025 Admin

Mwanza.  Tatizo la utelekezaji wa familia limeendelea kuwa mjadala usio na jawabu la moja kwa moja, huku pande zote mbiliwanaume na wanawake zikirushiana lawama. Kila

Read More
Habari

Mtuhumiwa wa utekaji wa mtoto apigwa risasi akijaribu kutoroka

March 9, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inamshikilia Stanley Bulaya, mkazi wa Kata ya Nguruka, wilayani Uvinza, Mkoa wa Kigoma

Read More
Habari

Vodacom Tanzania na dLab Wawezesha Wasichana Kupitia Programu ya CODE LIKE A GIRL

March 9, 2025 Admin

Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na dLab inaendelea kuwawezesha wasichana wenye umri wa miaka 14-18 kwa ujuzi wa STEM kupitia programu ya ‘Code Lie A Girl’.

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.