Sakata la Simba linavyoweza kuipa Yanga ubingwa

NDO hivyo bwana! Kitendo cha Simba ‘kugomea’ mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga kabla ya Bodi ya Ligi kubariki kwa kuahirisha bila kuzingatia kanuni za Ligi Kuu, kinaifanya timu hiyo ya Msimbazi kujiweka pabaya dhidi ya jinamizi la kutotwaa ubingwa. Mashabiki wa soka kwa sasa wanasikilizia kujua nini itakuwa hatima ya sakata hilo…

Read More

Wagombea viti maalumu CCM kupigiwa kura na wajumbe hawa

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza wajumbe watakaoshiriki mchakato wa kuwapigia kura watia nia wa ubunge na udiwani wa viti maalumu kupitia jumuiya zake za vijana (UVCCM), wanawake (UWT) na Wazazi. Hatua hiyo ni baada ya chama hicho, kufanya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya dola, uliohusisha upanuzi…

Read More

UEFA Kukupatia Mzigo Mkubwa Leo

JUMANNE ya kutusua na wakali wa ubashiri imefika leo ambapo leo hii ligi ya mabingwa Ulaya mechi za marudiano zitapigwa leo huku wewe ukiwa na nafasi ya kuibuka bingwa. Mapema kabisa FC Barcelona baada ya kushinda ugenini mechi yake ya kwanza leo hii atakuwa na kibarua cha kupepetana dhidi ya Benfica ambao kushinda mechi hii…

Read More