Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: March 12, 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • 12
Kimataifa

Kuzidi kwa vurugu huko Haiti kushinikiza huduma za kimsingi hadi ukingoni mwa kuanguka – maswala ya ulimwengu

March 12, 2025 Admin

William O'Neill, mtaalam wa UN juu ya hali ya haki za binadamu huko Haiti anaongea juu ya hali mbaya ya kibinadamu huko Haiti katika mkutano

Read More
Habari

Wadau waeleza chanzo, suluhu ya mikopo kashausha damu

March 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati wimbi la mikopo kausha damu likiendelea kutawala nchini, wadau wa masuala ya uchumi wameshauri jitihada za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ikiwemo elimu

Read More
Habari

Kada wa CCM ashikiliwa na Polisi Tanga

March 12, 2025 Admin

Tanga. Polisi Mkoa wa Tanga limesema linamshikilia kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani humo, Swahibu Mwanyoka kutokana na tuhuma zilizoripotiwa. Katika taarifa iliyotolewa na

Read More
Habari

Wachumi waikubali bajeti, wahofu kutofikia malengo, kukopa zaidi

March 12, 2025 Admin

Dodoma. Siku moja baada ya Serikali kuwasilisha Mapendekezo ya bajeti ya Sh57.04 Trilioni, wachumi na wananchi wameonyesha hofu ya kuhitaji mikopo zaidi. Hofu hiyo inatokana

Read More
Burudani

Kariakoo saa 24 yasuasua, kamera na taa vikitajwa

March 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimepita siku 12 tangu kuanza kwa biashara saa 24 eneo la Kariakoo, bado ufanyaji biashara usiku unasuasua, huku usalama ukitajwa

Read More
Habari

Profesa Assad, Mhadhiri UDSM wawapiga darasa vigogo Chadema

March 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwemo wajumbe wa kamati kuu watajifungia kwa siku mbili kupigwa darasa la uongozi.

Read More
Habari

WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KUJIPATIA NYUMBA ZINAZOJENGWA NA TBA

March 12, 2025 Admin

Na Janeth MichuziTv -Dodoma Wananchi wamepewa wito wa kuchamgamkia kupata nyumba zilizojengwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambazo zinapatikana kwa bei nafuu, kwa ajili

Read More
Habari

Rais Samia Suluhu Hassan Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali

March 12, 2025 Admin

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika taasisi za umma. Kwa mujibu wa taarifa

Read More
Habari

KISARAWE: TASAC YAUNGA MKONO KAMPENI YA ACHIA GHETO HAMIA HOSTELI

March 12, 2025 Admin

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 11 Machi, 2025 limetoa magodoro zaidi ya 300 katika kuunga mkono Kampeni ya Achia Gheto Hamia

Read More
Habari

Kikosi kazi NaCoNGO chazinduliwa – MICHUZI BLOG

March 12, 2025 Admin

BARAZA la Taifa la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali(NaCoNGO), limezindua kikosi kazi cha kitaifa chenye wajumbe 14 wanaotoka katika makundi ya wawakilishi mbalimbali kwa ajili ya

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.