Kukanyaga maadili ya Kiyahudi kunahatarisha kuishi kwa Israeli kama tunavyoijua – maswala ya ulimwengu

Familia inakusanyika katika jengo lililoharibiwa huko Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza. Machi 10 2025. Mikopo: Programu ya Chakula cha Dunia (WFP) Maoni na Alon Ben-meir (New York) Alhamisi, Machi 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Mar 13 (IPS)-Miaka 77 ya kuteswa ya mzozo wa Israeli-Palestina, iliyowekwa na vurugu kubwa na vita,…

Read More

Bugando kuanza upandikizaji figo mwaka huu

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando imesema inatarajia kuanza kutoa huduma ya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanaofanyiwa huduma ya usafishaji damu (Dialysis) mwaka huu. Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi, Machi 13, 2025, na Mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji Bugando, Dk Alicia Masenga, kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando,…

Read More

Jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 12 Mufindi

Mufindi. Mahakama ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, imemuhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa kijiji cha Ibatu Kata ya Igowole Tarafa ya Kasanga, Michael John Ngunda (27) baada ya kumtia hatiani  kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka (12). Hukumu hiyo imetolewa jana Machi 12, 2025 na Hakimu Mkazi Sekela…

Read More

Songamnara, Kilwa kisiwani kinara kuvutia watalii

Kilwa. Mamlaka ya wanyamapori Tanzania (Tawa) imeyataja maeneo ya Songamnara na Kilwa kisiwani kuwa kinara kwa kutembelewa na watalii mkoani Lindi. Hayo yamesemwa Machi 12, 2025 na Kamishna Msaidizi wa uhifadhi Kanda ya Kusini Mashariki, Hadija Malongo akizungumza wakati wa kuwapokea watalii katika eneo la Songamnara. Hadija amesema kuwa hadi sasa Tawa wameshapokea watalii zaidi…

Read More