KIUNGO mshambuliaji, Maxi Nzengeli juzi alifunga mabao mawili wakati Yanga ikitinga 16 Bora kwa kuiondosha Coastal Union kwa mabao 3-1 katika mechi ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho, huku kocha Miloud Hamdi akishindwa kujizuia kwa namna nyota huyo anavyomsapraizi uwanjani.
Mziki wa Maxi wamgusa Hamdi
