Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: March 15, 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • 15
Habari

DKT. NCHEMBA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UGANDA

March 15, 2025 Admin

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Uganda, Mhe Meja Jenerali Paul Simuli, alipotembelea Ofisi za Ubalozi

Read More
Habari

Benki ya Exim Yaandaa Futari Tanga na Zanzibar Kuimarisha Uhusiano wa Kijamii

March 15, 2025 Admin

Benki ya Exim Tanzania imeandaa futari maalum Tanga na Zanzibar, ikikusanya pamoja wateja wake, viongozi wa dini, na wadau wakuu kwa jioni ya shukrani, mshikamano,

Read More
Kimataifa

UN inahimiza mabadiliko ya pamoja kama Syria inaashiria miaka 14 ya migogoro – maswala ya ulimwengu

March 15, 2025 Admin

Mjumbe maalum wa UN kwa Syria, Geir Pedersen alitaka mwisho wa uhasama na aliwasihi pande zote kulinda raia kulingana na sheria za kimataifa. “Kilichoanza kama

Read More
Habari

Rais Samia anavyopigania kuirejesha Tanga ya viwanda

March 15, 2025 Admin

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Mkoa wa Tanga una historia kubwa katika nchi yetu ya Tanzania. Moja ya historia kubwa ni kuwa mkoa uliokuwa na viwanda

Read More
Habari

Wasira atwishwa kero tatu mjini Tunduma

March 15, 2025 Admin

Tunduma. Wananchi wa Mji wa Tunduma wamewasilisha kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), kero tatu zinazowakabili zikiwamo za uhaba wa maji na bodaboda kunyanyaswa na Polisi.

Read More
Habari

Mauaji ya wanawake yapungua kwa asilimia 81 Geita

March 15, 2025 Admin

Geita. Mauaji ya wanawake yanayotokana na matukio ya ukatili wa kijinsia mkoani Geita yamepungua kutoka vifo 37 mwaka 2023 hadi saba mwaka 2024 (sawa na

Read More
Habari

KAMATI YA PAC YAIPONGEZA REA USAMBAZAJI WA UMEME KATIKA VIJIJI VYA MKOA SINGIDA

March 15, 2025 Admin

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) chini ya Kaimu Mwenyekiti wake, Mhe. Joseph Kakunda leo, tarehe 15 Machi, 2025 imetembelea na

Read More
Habari

Wakulima wataka kushirikishwa maandalizi ya bajeti

March 15, 2025 Admin

Dodoma. Serikali imelalamikiwa kutowashirikisha wakulima kwenye maandalizi ya bajeti zake kuanzia ngazi ya chini na badala yake wanapeleka maendeleo kwa maagizo. Wawakilishi wa wakulima kutoka

Read More
Michezo

BALOZI NCHIMBI ACHANGISHA SH. 950 MILIONI KWA MATIBABU YA WAGONJWA WA MGUU KIFUNDO

March 15, 2025 Admin

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amefanikisha uchangishaji wa shilingi milioni 950 kwa ajili ya matibabu ya watoto wapatao

Read More
Habari

Ilivyohitimishwa safari ya Naomi Kilimanjaro, gumzo miaka mitano

March 15, 2025 Admin

Mwanga. Familia imehitimisha safari ya maisha ya duniani ya Naomi Marijani, ikizika mabaki ya mwili wake yaliyopatikana baada ya tukio la mauaji lililofanyika miaka mitano

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.