Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Uganda, Mhe Meja Jenerali Paul Simuli, alipotembelea Ofisi za Ubalozi
Day: March 15, 2025

Benki ya Exim Tanzania imeandaa futari maalum Tanga na Zanzibar, ikikusanya pamoja wateja wake, viongozi wa dini, na wadau wakuu kwa jioni ya shukrani, mshikamano,

Mjumbe maalum wa UN kwa Syria, Geir Pedersen alitaka mwisho wa uhasama na aliwasihi pande zote kulinda raia kulingana na sheria za kimataifa. “Kilichoanza kama

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Mkoa wa Tanga una historia kubwa katika nchi yetu ya Tanzania. Moja ya historia kubwa ni kuwa mkoa uliokuwa na viwanda

Tunduma. Wananchi wa Mji wa Tunduma wamewasilisha kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), kero tatu zinazowakabili zikiwamo za uhaba wa maji na bodaboda kunyanyaswa na Polisi.

Geita. Mauaji ya wanawake yanayotokana na matukio ya ukatili wa kijinsia mkoani Geita yamepungua kutoka vifo 37 mwaka 2023 hadi saba mwaka 2024 (sawa na

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) chini ya Kaimu Mwenyekiti wake, Mhe. Joseph Kakunda leo, tarehe 15 Machi, 2025 imetembelea na

Dodoma. Serikali imelalamikiwa kutowashirikisha wakulima kwenye maandalizi ya bajeti zake kuanzia ngazi ya chini na badala yake wanapeleka maendeleo kwa maagizo. Wawakilishi wa wakulima kutoka

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amefanikisha uchangishaji wa shilingi milioni 950 kwa ajili ya matibabu ya watoto wapatao

Mwanga. Familia imehitimisha safari ya maisha ya duniani ya Naomi Marijani, ikizika mabaki ya mwili wake yaliyopatikana baada ya tukio la mauaji lililofanyika miaka mitano