KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA UWEKEZAJI DATA CENTRE
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Slaa (kulia mbele) akizungumza kuwakaribisha Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Kutunza Data Kimtandao (Data Centre) katika ziara yao kutembelea kituo hicho. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa (aliyesimama…