Miaka ya Mazingira Kusafisha Mbele Kufuatia Ripoti Mpya juu ya Mgodi wa Bougainville ulioachwa – Maswala ya Ulimwenguni

Wamiliki wa ardhi na jamii wanaendelea kuishi na athari mbaya za mazingira za mgodi wa shaba wa Derelict Panguna, ambao haukuwahi kutengwa, katika milima ya Kisiwa cha Bougainville. Mkoa wa uhuru wa Bougainville, PNG. Mikopo: HRLC na Catherine Wilson (London) Jumatatu, Machi 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LONDON, Mar 17 (IPS) – Jamii…

Read More

Costech kuinua wabunifu wadogo nchini

Dodoma. Serikali ya Tanzania kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) imetenga Sh6.3 bilioni kwa ajili ya miradi ya utafiti wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, huku Sh600 milioni zikiwa zimetumika katika miradi ya usalama wa chakula. Miradi hiyo inahusisha udhibiti wa magonjwa ya mazao, uboreshaji wa uhifadhi wa chakula, na ubunifu wa…

Read More

Rea, Tanesco wapewa agizo hili bei za kuunganisha umeme

Njombe. Wakati uunganishwaji wa umeme katika maeneo ya vijiji ukiwa ni Sh27,000 na Sh320,960 mijini, Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wameagizwa kubandika gharama halisi za kuunganisha umeme katika ofisi za serikali za vijiji. Gharama hizo ziende sambamba na hatua ambazo mwananchi anapaswa kuzifuata akitaka kuunganishishiwa umeme ili wananchi wazifahamu…

Read More

Polisi Dar yaahidi kumnasa anayedaiwa kumuua mkewe

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamsaka kijana anayetuhumiwa kufanya mauaji ya Paulina Mathias (40), Mkazi wa Kibonde Maji B, Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam. Tukio hilo linadaiwa kutokea Machi 10, 2025 eneo la Kibonde Maji alikokuwa amepanga mwanamke huyo. Inadaiwa mwanamke huyo aliuawa kwa kuchomwa na kitu chenye…

Read More