Wakala wa Uhamiaji wa UN kulazimishwa kurekebisha tena wakati wa kupunguzwa kwa bajeti – maswala ya ulimwengu

Kupunguzwa kwa fedha kuna athari kubwa kwa jamii zilizo hatarini, kuzidisha migogoro ya kibinadamu na kudhoofisha mifumo muhimu ya msaada kwa idadi ya watu waliohamishwa, Wakala wa UN alisema katika taarifa Jumanne. Marekebisho yanahusisha “Kuongeza miradi ya nyuma au kumaliza inayoathiri wafanyikazi zaidi ya 6,000 ulimwenguni“Na kutekeleza muundo wa muundo katika makao makuu, kupunguza wafanyikazi…

Read More

Waziri Mkuu:Maadhmisho ya VETA kutafakari

Mkurugenzi  Mkuu wa VETA CPA Anthony Kassore akitoa maalezo kuhusiana  na mikakati ya VETA kwenye maadhimisho  ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwake jijini Dar es Salaam. Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia  Profesa Adolf Mkenda akitoa maelezo kuhusiana na maendeleo  na mafanikio ya maadhimisho  ya miaka 30 ya VETA jijini Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim…

Read More

DC KAHAMA AJIVUNIA MATUNDA YA KODI WILAYANI KWAKE

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, Mboni Mhita (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa  Meneja Msaidizi huduma mkoa wa kikodi wa Kahama, George Kazumba kama ishara ya ushirikiano wao katika kazi wakati wa ziara ya maafisa kutoka TRA Wilayani humo. Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, Mboni Mhita akizungumza na Maofisa kutoka Mamlaka ya…

Read More

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAHITIMISHA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME MKOANI NJOMBE

18 Machi,2026, Njombe KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekamilisha ziara yake ya siku tatu mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi ya Nishati Vijijini (REA) inayotekelezwa na serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kwa upande wa REA ziara hiyo imehitimishwa katika kijiji…

Read More

BARRICK KUENDELEZA JITIHADA ZA KUKUZA MASOMO YA HISABATI NA MASOMO YA SAYANSI NCHINI

Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na teknolojia ya Karume (KIST), Dkt. Mohammed Abdulwahab Alawi akiwasikiliza wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tumekuja wakati alipotembelea maonesho katika maadhimisho ya sita ya siku ya hisabati Duniani, yaliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michenzani Zanzibar. Wanafunzi kutoka shule za msingi na sekondari Visiwani wakiwa kwenye maandamano ya katika maadhimisho…

Read More

Mchungaji Mashimo jela miaka miwili, sababu yatajwa

Dar es Salaam. Mchungaji Daud Nkuba, maarufu Komando Mashimo, amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia katika makosa mawili, kuingia kijinai katika ardhi isiyo yake na kuharibu mali. Katika hukumu hiyo Komando Mashimo pia ameamriwa kulipa fidia ya Sh5 milioni. Komando Mashimo amehukumiwa kutumikia adhabu hiyo na Mahakama ya Wilaya ya…

Read More