ASMA MWINYI AFTARISHA WATU WA SURA MFANANO

Na Madina Khatib, Zanzibar NAIBU Waziri ya maendeleo ya jinsia, wazee na watoto Zanzibar, Anna Athanas Paul, amesema taasisi ya Asma Mwinyi Foundation imekuwa na mchango mkubwa katika jamii hasa katika kuhakikisha kuwa haki za watoto na watu wenye ulemavu wakiwemo wenye sura mfanano zinaendelezwa na kuheshimiwa. Akizungumza katika hafla ya Iftar iliyoendana na maadhimisho…

Read More

Dk Nchimbi atuma salamu kwa wabadhilifu CCM

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ametuma ujumbe kwa wanachama wasio waadilifu ndani ya chama hicho, akisema wanaendelea kuwaandaa watu waadilifu kama Mwekahazina wa CCM, Dk Frank Hawassi. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo, Jumamosi Machi 22, 2023 kwenye ibada ya kumuaga mke wa Dk Hawassi, marehemu Damaris Hawassi, iliyofanyika katika…

Read More

CCM yaahidi ilani itakayotatua changamoto za ajira kwa vijana

Bukoba. Katika kukabiliana na uhaba wa ajira Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) -Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kitakuja na ilani bunifu kwenye uchaguzi mkuu 2025 ili kuongeza kasi ya mapato kwa wananchi wote ikiwemo vijana kufanikiwa kiuchumi. Amesema ilani hiyo itasaidia kukabiliana na changamoto ya uchache wa ajira na lawama kubwa…

Read More

Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleimani Jafo, amezitaka taasisi zote za serikali zinazohusika na ulinzi wa mlaji kufanya kazi kwa pamoja  ili kuhakikisha haki za watumiaji zinalindwa. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Siku ya Haki za Watumiaji Duniani, Dkt. Jafo amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya mamlaka mbalimbali za udhibiti…

Read More

Benki ya Absa Tanzania Washirikiana na Hindsight Ventures Kuhamasisha Ubunifu wa FinTech na Biashara Changa Kupitia “Wazo Challenge”

• Mpango wa siku 60 wenye mkondo wa ubunifu na matukio ya kiteknolojia za kidigitali• Mada zinajumuisha uzoefu wa wateja, utambulisho wa kidijitali, na bidhaa za kidijitali• Biashara changa (startups) zilizochaguliwa zitapata fursa ya kujaribu suluhisho zao na Benki ya Absa Tanzania• Kila startup iliyochaguliwa itapata ufikiaji wa bidhaa za kiteknolojia zenye thamani ya USD…

Read More