WASOMI WATAKA CHADEMA WAFUATE USHAURI WA RAILA ODINGA

*Wasema majadiliano ni njia bora ya kupata suluhu ya masuala yao Wachambuzi wa siasa na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Richard Mbunda na Dk. Frolence Rutechura, wamewashauri viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufuata ushauri wa mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga, wa kutafuta suluhu kwa njia ya majadiliano…

Read More

KITABU CHA MAISHA YA OMWAMI KASHAGA CHAZINDULIWA.

Mgeni rasmi, Profesa wa Historia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Frederick Kaijage akikata utepe kuzindua kitabu kiitwacho ‘Maisha ya Omwami Evarista Kashaga’ jijini Dar es Salaam Machi 22, 2025. Kulia ni Mwandishi wa kitabu hicho, Mhadhiri Mwandamizi wa Sayansi za Jamii kutoka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Dkt. Frateline Kashaga, Mtaalam mstaafu…

Read More

SHEIKH WA MKOA WA SINGIDA AKABIDHI IFTAR MAGEREZA

    Ofisi ya BAKWATA Mkoa wa Singida kupitia sheikh wa Mkoa wa Singida Issa Bin Nassoro amezipongeza  Ramadhani Charity Programme inayo ongozwa na Ndg. Ahmed Misanga na Taasisi ya  JAI kwa kutoa sadaka Magereza ya Manispaa ya Singida. Hayo ameyasema leo katika ziara yake ya kutembelea Wafunguwa kwenye Gereza la Manispaa ya Singida nakutoa…

Read More

WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

▪️Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi ▪️Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu masuala ya kodi. Amesema Rais Dkt. Samia anajali changamoto za wafanyabiashara na ndio maana…

Read More

Ufanisi Bandari Dar wavutia wawekezaji wakubwa

Dar es Salaam. Wakati ufanisi wa kazi wa Bandari ya Dar es Salaam ukitajwa kuongezeka, wadau mbalimbali wa biashara wamevutiwa kuitumia katika shughuli zao. Miongoni mwa yanayochochea ufanisi huo ni kupungua kwa muda wa meli za makontena kusubiri kuingia bandarini humo, ambapo Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, Machi 10, mwaka huu akizungumza na waandishi…

Read More

BODI YA EWURA YATEMBELEA BOMBA LA MAFUTA TAZAMA

  Ndola, Zambia: Mwenyekiti wa Bodi ya ya Wakurugenzi ya EWURA, Prof. Mark Mwandosya leo 23 Machi 2025, ameongoza wajumbe wa Bodi hiyo na Menejimenti kwenye ziara ya kutembelea Bomba la Mafuta la TAZAMA linaloanzia Dar es Salaam, Tanzania hadi Ndola, Zambia. Ziara hiyo ilianza Machi 21, 2025. Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati ya Bodi…

Read More