PONDEZA AWAFIKIA WAGONJWA WASIOJIWEZA PAMOJA NA WAZEE.

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni, Mh: Ussi Salum Pondeza amewajulia hali wagonjwa na wazee wasiojiweza na kuwakabidhi Iftar ikiwa ni utaratibu aliyojiwekea kila unapofika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Alhaj, Pondeza ametumia fursa hiyo kuwaombea dua wagonjwa na wazee hao na kuwaeleza kuwa kipindi hiki cha kumi la mwisho la Ramadhan waendelee kukithirisha kufanya ibada ili…

Read More

UWEZO TANZANIA KUTAFUTA UFUMBUZI WA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI VIJANA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la Serikali la UWEZO TANZANIA limelenga kutafuta ufumbuzi wa Changamoto zinazowakabili vijana katika kupata stadi za maisha ili waweze kuwa na maarifa na uwezo wa kuishi katika misingi bora inayokubalika na jamii. Mkurugenzi wa shirika hilo la UWEZO TANZANIA Baraka Mgohamwende amesema hayo katikak Mkutano uliohusisha wadau mbalimbali,…

Read More

Sh1.5 bilioni kukwamua mradi wa maji  Hanang

Hanang’. Watu 4,995 wa Kata ya Hidet, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, watanufaika na mradi wa maji kutoka Ziwa Bassotughang baada ya kujengwa kwa mitambo ya kusafisha kwa matumizi ya binadamu. Kujengwa kwa mradi huo kunaenda kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama katika eneo hilo. Baadhi ya wakazi wa Hidet, wakizungumza baada ya…

Read More

MONGELLA ATOA WITO WA AMANI KWA WANA~CCM UCHAGUZI MKUU 2025

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, amewataka wanachama wa chama hicho kudumisha amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza leo, Machi 24, 2025, jijini Arusha kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mongella amewahimiza wana-CCM kuwa makini na kuepuka vishawishi vinavyoweza kusababisha…

Read More

Bwana mkurugenzi mpya Twaweza akichukua nafasi ya Eyakuze

Dar es Salaam. Taasisi ya Twaweza Afrika Mashariki imetangaza uteuzi wa Anna Bwana kuwa Mkurugenzi Mtendaji wake mpya, kuanzia Mei 15, 2025. Bwana, mwenye uzoefu katika masuala ya utawala, anachukua nafasi ya Aidan Eyakuze, ambaye amekwenda kuiongoza Taasisi ya Open Government Partnership. Uteuzi wa Bwana unatokana na mchakato wa kuteua viongozi uliofanyika kwa kina, ukilenga…

Read More

TUNATAKA KUWAUNGANISHA WATANZANIA KATIKA MAOMBI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU,TUPATE VIONGOZI WENYE HEKIMA NA BUSARA-MSAMA

 Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kamati ya maandalizi ya tamasha la Kuombea uchaguzi Mkuu  maalum linalotarajia kufanyika mikoa 26 ya Tanzania, likianza jijini Dar es Salaam yanaendelea. Mkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa tamasha hilo , Alex Msama, amesema maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vizuri,na kuwa tamasha hilo litakuwa ni sehemu ya maandalizi ya kiroho…

Read More

Mikopo ya asilimia 10 yapatiwa mwarobaini

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya asilimia 10 ili kujikwamua kiuchumi, kuondokana na umaskini na kusaidia kuirejesha kwa wakati. Amesema; “Mafunzo ya usimamizi mzuri wa vikundi, utatuzi wa migogoro, usimamizi wa biashara, utunzaji wa kumbukumbu pamoja …

Read More