Hafla hiyo, iliyofanyika katika Makao Makuu ya TCAA jijini Dar es Salaam, ilihudhuriwa na viongozi wa mamlaka hiyo pamoja na wadau wa sekta ya anga.
Day: March 24, 2025

Tume juu ya Hali ya Wanawake (CSW69) -March 10-21, 2025 Maoni na Conor Lennon (Umoja wa Mataifa) Jumatatu, Machi 24, 2025 Huduma ya waandishi wa

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni, Mh: Ussi Salum Pondeza amewajulia hali wagonjwa na wazee wasiojiweza na kuwakabidhi Iftar ikiwa ni utaratibu aliyojiwekea kila unapofika mwezi

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la Serikali la UWEZO TANZANIA limelenga kutafuta ufumbuzi wa Changamoto zinazowakabili vijana katika kupata stadi za maisha ili

Hanang’. Watu 4,995 wa Kata ya Hidet, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, watanufaika na mradi wa maji kutoka Ziwa Bassotughang baada ya kujengwa kwa mitambo ya

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, amewataka wanachama wa chama hicho kudumisha amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa

Dar es Salaam. Taasisi ya Twaweza Afrika Mashariki imetangaza uteuzi wa Anna Bwana kuwa Mkurugenzi Mtendaji wake mpya, kuanzia Mei 15, 2025. Bwana, mwenye uzoefu

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kusimamia

Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kamati ya maandalizi ya tamasha la Kuombea uchaguzi Mkuu maalum linalotarajia kufanyika mikoa 26 ya Tanzania, likianza jijini Dar

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya