Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: March 24, 2025

  • Home
  • 2025
  • March
  • 24
Habari

TCAA YAJENGA MSHIKAMANO KUPITIA FUTARI NA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

March 24, 2025 Admin

Hafla hiyo, iliyofanyika katika Makao Makuu ya TCAA jijini Dar es Salaam, ilihudhuriwa na viongozi wa mamlaka hiyo pamoja na wadau wa sekta ya anga.

Read More
Kimataifa

'Ni nini kinachofuata?' Harakati zinazoongozwa na wanawake zinaogopa siku zijazo-maswala ya ulimwengu

March 24, 2025 Admin

Tume juu ya Hali ya Wanawake (CSW69) -March 10-21, 2025 Maoni na Conor Lennon (Umoja wa Mataifa) Jumatatu, Machi 24, 2025 Huduma ya waandishi wa

Read More
Habari

PONDEZA AWAFIKIA WAGONJWA WASIOJIWEZA PAMOJA NA WAZEE.

March 24, 2025 Admin

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni, Mh: Ussi Salum Pondeza amewajulia hali wagonjwa na wazee wasiojiweza na kuwakabidhi Iftar ikiwa ni utaratibu aliyojiwekea kila unapofika mwezi

Read More
Habari

UWEZO TANZANIA KUTAFUTA UFUMBUZI WA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI VIJANA

March 24, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la Serikali la UWEZO TANZANIA limelenga kutafuta ufumbuzi wa Changamoto zinazowakabili vijana katika kupata stadi za maisha ili

Read More
Habari

Sh1.5 bilioni kukwamua mradi wa maji  Hanang

March 24, 2025 Admin

Hanang’. Watu 4,995 wa Kata ya Hidet, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, watanufaika na mradi wa maji kutoka Ziwa Bassotughang baada ya kujengwa kwa mitambo ya

Read More
Habari

MONGELLA ATOA WITO WA AMANI KWA WANA~CCM UCHAGUZI MKUU 2025

March 24, 2025 Admin

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, amewataka wanachama wa chama hicho kudumisha amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa

Read More
Habari

Bwana mkurugenzi mpya Twaweza akichukua nafasi ya Eyakuze

March 24, 2025 Admin

Dar es Salaam. Taasisi ya Twaweza Afrika Mashariki imetangaza uteuzi wa Anna Bwana kuwa Mkurugenzi Mtendaji wake mpya, kuanzia Mei 15, 2025. Bwana, mwenye uzoefu

Read More
Habari

DKT.BITEKO AIPONGEZA EWURA USIMAMIZI WA AJIRA KWA WAZAWA

March 24, 2025 Admin

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kusimamia

Read More
Habari

TUNATAKA KUWAUNGANISHA WATANZANIA KATIKA MAOMBI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU,TUPATE VIONGOZI WENYE HEKIMA NA BUSARA-MSAMA

March 24, 2025 Admin

 Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kamati ya maandalizi ya tamasha la Kuombea uchaguzi Mkuu  maalum linalotarajia kufanyika mikoa 26 ya Tanzania, likianza jijini Dar

Read More
Burudani

Mikopo ya asilimia 10 yapatiwa mwarobaini

March 24, 2025 Admin

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.