Mfanyabiashara Adakwa Akidaiwa Kutapeli Kwenye Upatu na Vikoba – Global Publishers



Wananchi mbalimbali Machi 25, 2025  wamefika katika Kituo cha Polisi Mbweni ambako mwanadada aitwaye Tumaini almaarufu Hope Brand anashikiliwa kwa tuhuma za kuwatapeli fedha zao kupitia kuchezesha michezo ya upatu na Vicoba kupitia magroup ya WhatsApp.











Related Posts