Ndege yakatisha safari kisa rubani kusahau pasipoti

Abiria 257 wa Shirika la Ndege la United Airlines walikumbwa na mshangao baada ya ndege yao kurejea ghafla Marekani, ikiwa safarini kuelekea Shanghai, China kisa mmoja wa marubani alikuwa amesahau pasipoti. Ndege hiyo aina ya Boeing 787, iliyokuwa ikitekeleza safari ya UA 198, iliondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles (LAX) mnamo Jumamosi,…

Read More

Kada wa CCM adaiwa kupotea, Polisi waanza uchunguzi

Mwanza. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chonchorio anadaiwa kupotea tangu Machi 23, 2025 baada ya kutoka nyumbani akidai anakwenda kufanya mazoezi. Akizungumza na Mwananchi Jumatatu Machi 24, 2025 nyumbani kwa kada huyo mtaa wa Temeke wilayani Nyamagana, dada yake, Monari Nyanswi amesema kaka yake hakurudi tangu siku hiyo alipotoka nyumbani…

Read More

MFANYABIASHARA MAARUFU MONABAN ASIMIKWA KUWA ASKOFU DAYOSISI YA ARUSHA KANISA LA K.K.A.M

Na Pamela Mollel,Arusha Mhashamu Baba Askofu Mkuu wa kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (K.K.A.M)Oscar Ulotu amemsimika rasmi Dkt.Philemon Mollel,mfanyabishara maarufu(Monaban) kuwa Baba Askofu Mteule wa Dayosisi ya Arusha Baba Askofu Mollel amesimikwa Machi 23,2025 kwenye ibada maalum iliyofanyika katika kanisa la K.K.A.M Mto wa Mbu-Kigongoni Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha Ibada hiyo imehudhuriwa na viongozi…

Read More

Mwaikimba atia neno ubora wa wachezaji Ligi Kuu

STRAIKA wa zamani wa Yanga na Azam FC, Gaudence Mwaikimba amesema akiitazama Ligi Kuu Bara kwa sasa kilichoongezeka ni uwekezaji, lakini kuhusu ufundi wa wachezaji uwanjani haoni vipaji halisi kama ilivyokuwa zamani. Aliifafanua kauli yake kwamba kilichotawala kwa sasa ni mbinu za makocha zinapofeli timu inakuwa ngumu kupata matokeo mazuri huku akisema mpira anaouona kwa…

Read More

Stars ikifa Morocco tukutane 2030

TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars inakabiliwa na mechi ngumu ya ugenini dhidi ya Morocco kuazia saa 6:30 usiku wa kuamkia kesho Jumatano ambao ni wa Kundi E kuwania kufuzu ushiriki wa Fainali za Kombe la Dunia 2026. Mchezo huo utachezwa kwenye Uwanja wa Manispaa jijini Oujda nchini Morocco ambao unaingiza mashabiki…

Read More

Sowah, Sillah kuwachomoa wawili Yanga

KUNA hesabu Kali ambazo Yanga inazipiga kibabe ndani ya kikosi chao cha msimu ujao wakitaka kuingiza silaha za maana ndani ya mziki wao lakini kuna wawili lazima waachie nafasi fasta ili dili hizo zikamilike. Yanga inataka kumsajili mshambuliaji Jonathan Sowah ambaye yupo pale Singida Black Stars, jamaa huyo licha ya kuingia dirisha dogo msimu huu,…

Read More

Ukosefu wa usalama unazidi kwa Rohingya isiyo na hesabu, anasema Grandi ya UNHCR – Maswala ya Ulimwenguni

Katika rufaa ya pamoja, shirika la wakimbizi la UN, UNHCRna Shirika la Kimataifa la UN la Uhamiaji (IOM) alihimiza nchi zote kuchukua hatua kuunga mkono Rohingya waliohamishwa – idadi kubwa zaidi ya watu wasio na takwimu ulimwenguni. Mahali pa “kutisha” Hali ya kibinadamu katika Cox's Bazar – nyumbani kwa karibu milioni moja Rohingya huko Bangladesh…

Read More