Serikali kuendeleza ukaribu na sekta binafsi

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi ni muhimu katika kukuza uwekezaji pamoja na uchumi kupitia nyanja mbalimbali za maendeleo nchini. Katika kuimarisha hilo, Balozi Kombo amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa Jukwaa la Wakurugenzi Watendaji…

Read More

Wizara yafunga shughuli za uvuvi kwa muda Ziwa Ikimba

Bukoba. Wizara ya Mifugo na Uvuvi imefunga shughuli za uvuvi katika Ziwa Ikimba mkoani Kagera kwa kipindi cha miezi sita. Hatua hiyo inalenga kupisha upandikizaji vifaranga vya samaki tani milioni 1.5 ili kuongeza uzalishaji kutoka tani milioni moja hadi kufikia tani milioni 13 za samaki kwa mwaka. Ziwa hilo ni miongoni mwa maziwa 15 madogo…

Read More

Che Malone, Camara kuikosa Dodoma Jiji kesho

Simba SC kesho Ijumaa itaingia uwanjani kukabiliana na Dodoma Jiji huku ikielezwa itaikosa huduma ya kipa wake namba moja, Moussa Camara na beki tegemeo, Che Fondoh Malone. Nyota hao wanatarajiwa kukosekana katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar kutokana na kusumbuliwa na majeraha waliyoyapata Februari 24, 2025 katika sare…

Read More

RIBA YA HUDUMA NDOGO YA FEDHA NI ASILIMIA 3.5 KWA MWEZI

Na. Peter Haule, Rorya Mara, WF Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Mkoani Mara wametakiwa kujua kiwango cha juu cha riba kinachopaswa kutolewa kisheria na vikundi na watoa huduma ndogo za fedha ili kutoingia kwenye mikopo yenye riba kubwa itakayosababisha washindwe kurejesha mikopo. Hayo yameelezwa na Kiongozi wa Timu ya Wataalamu wa Elimu ya…

Read More

Manyerere: Wachezaji walionyesha ubora wao

Baada ya ligi ya kikapu ya daraja la kwanza kumalizika, takwimu zimeonyesha hakuna mchezaji yeyote aliyepewa adhabu ya kumchezea makosa mwenzake ya siyo ya kimchezo (unsportsman). Makosa yasiyo ya kimchezo ni yale mchezaji  anayemshika jezi mwenzake au kumzuia kwa mguu. Kamishina wa Makocha wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere, amesema endapo…

Read More

Kocha: Vijana Queens haitayumba BDL

Kocha wa timu ya Vijana Queens,    Kabiola Shomari, amesema kuondoka kwa wachezaji wake, Happy Danford na Tumaini Ndossi   kujiunga na timu ya Tausi Royals, timu yake haitatetereka. Usajili wa timu ya Tausi Royals kwa wachezaji hao kutoka Vijana Queens, ni wa pili kwao, mwaka jana iliwasajili Diana Mwendi, Tukusubira Mwalusamba na Asumpta. Kwa mujibu wa…

Read More

Serikali: Ugonjwa wa Marburg umemalizika Biharamulo

Dar es Salaam.  Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya, Jenista Mhagama imetangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg katika Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Machi 13, 2025 Mhagama imeeleza kuwa mgonjwa wa mwisho aliyethibitika kuwa na virusi hivyo (MVD) aliripotiwa Januari 28, 2025 hivyo hadi kufikia…

Read More

Tiba ya figo zilizofeli | Mwananchi

Figo ni kiungo muhimu sana mwilini. Mungu ametupa figo mbili moja kulia na nyingine kushoto, ziko tumboni chini ya mbavu. Figo huanza kazi tangu mtoto akiwa tumboni mwa mama yake. Kazi ya figo ni kuchuja damu, kuondoa taka mwili, kudhibiti uwiano wa madini na maji mwilini. Figo pia husaidia mchakato wa kutengemeza damu na kuimarisha…

Read More