Madiwani wapendekeza jimbo la Dodoma Mjini ligawanywe

Dodoma. Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma imependekeza jimbo la Dodoma Mjini kugawanywa na kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi. Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichoketi jana Jumatano Machi 12, 2025, Ofisa uchaguzi wa Jiji la Dodoma, Albert Kasoga amesema mgawanyo…

Read More

Chalamila aagiza mama anayeidai Hospitali ya Amana alipwe

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wakazi wa mkoa huo kutokubali kufanya biashara na taasisi yoyote ya Serikali bila kuwa na mkataba na nyaraka rasmi za makabidhiano ya huduma iliyotolewa. Amesema hatua hiyo itaepusha migogoro kati ya wananchi na taasisi za Serikali ambazo wanafanya nazo biashara, kama ilivyotokea…

Read More

Aliyejifanya daktari Muhimbili, jela miezi sita

Dar es Salaam. Mahakama ya mwanzo Kariakoo, imemuhukumu John Batebuye (26) kifungo cha miezi sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kujifanya mtumishi wa Serikali wakati akijua kuwa ni uongo. Batebuye ambaye ni mkazi wa Kigamboni, alikutwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili( MNH) iliyopo Upanga, akijifanya ni daktari wa binadamu wa hospitali hiyo,…

Read More