AKILI ZA KIJIWENI: Minziro, Ahmad Ally wajihadhari

MSIMU huu umekuwa na upepo ambao sio mzuri kwa makocha na hadi hapa akili za kijiweni zinapochakata kuna makocha kama 14 hivi wameondoka kwenye timu zao kwa kufungishwa virago. Ni makocha wawili tu ambao wameondoka kwa uamuzi wao binafsi na sio kwa sababu ya matokeo yasiyoridhisha ambao ni Abdi Moalin na Sead Ramovic walioziacha timu…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kama vipi, viwanja vyote korofi wapewe JKT

TFF sasa hivi imekuwa haina masihara na viwanja ambavyo vinashindwa kutimiza vigezo vya kutumika kwa ligi ambapo inavitembezea hasa rungu pasipo kutanguliza mambo ya busara. Na hiki ndicho ambacho sisi hapa kijiweni tulikuwa tunatamani kitokee kwamba kama viwanja havifanyiwi ukarabati basi timu zinazovitumia zionje shubiri ya kucheza mechi zao za nyumbani kwingineko. Visipokuwa vinapewa adhabu…

Read More

MWENYEKITI CCM MANYARA ATOA ONYO KALI

Na John Walter -Babati Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara, Mheshimiwa Peter Toima, ameonya vikali matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, akisema yanaweza kusababisha chuki na mvurugano, jambo ambalo linaweza kuleta taswira mbaya kwa chama. Akizungumza leo Machi 12, 2025, ofisini kwake mjini Babati, Mheshimiwa Toima amesisitiza kuwa chama kina utaratibu wake…

Read More

SERIKALI: ELIMU YA FEDHA KUYAFIKIA MAKUNDI YOTE

  Na. Josephine Majura WF, Mara Serikali inatambua umuhimu wa kuhakikisha kwamba makundi yote maalumu, yakiwemo watu wenye ulemavu wa kusikia (viziwi), wanawake, vijana, na wazee, wanapata elimu ya fedha nchini ili waweze kujikwamua kiuchumi.  Hayo yameelezwa na Afisa Usimamizi wa Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya ,…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Dube ametuunganisha tuliobishana

SIKU za mwanzoni za Prince Dube ndani ya Yanga, kijiweni hapa na katika mitaa mingi tuligawanyika sana kuhusu mshambuliaji huyo kutoka Zimbabwe. Mambo yalikuwa hayamuendei vizuri wakati hivyo kukawepo makundi mawili ambayo ni moja lililo nyuma ya mshambuliaji huyo na jingine likiwa na hisia tofauti juu yake. Ambao walikuwa wamegoma kushuka kwenye basi la Dube…

Read More

MFUKO WA PSSSF WAKARIBIA THAMANI YA SHILINGI TRILIONI 10

MFUKO wa hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma (PSSSF), umewaondolea wasiwasi wastaafu  wa mfuko huo kufuatia kuendelea kukua na kukaribia kufikia thamani ya Trilioni 10 na hivyo kuwahakikishia kuendelea kupata mafao yao kwa wakati. Hayo yameelezwa jana jijini hapa na Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa PSSSF, Abdulrazaq Abdu alipokuwa akitoa taarifa ya mradi wa…

Read More

Kifo cha mwanafunzi Polisi, mzazi watofautiana

Muleba. Polisi Mkoa wa Kagera wamesema chanzo cha kifo cha mwanafunzi aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Tumusime, Janeth Mbegaya (7) hakijatokana na kubakwa wala kulawitiwa. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Brasius Chatanda amesema hayo jana Alhamisi, Machi 12, 2025 baada ya uchunguzi wa kitabibu uliyofanywa na madaktari wa Hospitali Teule ya…

Read More