JKT yawatumia ujumbe wanaoghushi vyeti vyao

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewatahadharisha vijana na watu wanaojihusisha na kughushi vyeti vya kuhitimu mafunzo yanayotolewa na jeshi hilo, kuacha kufanya hivyo na watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria. JKT imekuwa ikitoa mafunzo kwa kundi la lazima (mujibu wa sheria), ambayo hutolewa kwa muda wa miezi mitatu na kundi la kujitolea ambapo vijana…

Read More

Wachimbaji wadogo wampa Tano Rais Samia

· Umeme mgodini ‘kicheko’ · Uzalishaji waongezeka 70% WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Dhahabu wa Basia uliopo kijiji cha Mwanubi Wilaya ya Shinyanga Vijijini wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapelekea huduma ya umeme katika mgodi huo. Akizungumza Mwenyekiti wa Mabroka Mkoa wa Shinyanga (CHAMATA) Masanja…

Read More

Namna bora ya kukadiria mtaji wa biashara yako

Biashara ni nguzo muhimu ya maisha kwa wengi, hasa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea juhudi zao za kila siku ili kujenga maisha bora. Ili kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, mtaji ndio msingi muhimu. Mtaji unaweza kuwa ni fedha au rasilimali zinazohitajika kuanzisha na kuendesha shughuli za kibiashara. Kujua jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara yako ili…

Read More