Majina walimu wapya walioajiriwa serikalini haya hapa

Dar es Salaam. Serikali imewaita kazini walimu wapya 319 wa fani mbalimbali ambapo halmashauri saba zimenufaika na ingizo hilo jipya la walimu. Taarifa ya kuitwa kazini kwa walimu hao imetolewa jana Machi 12, 2025 na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. “Katibu wa Sekretarieti ya Ajira anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi…

Read More

SEforALL KUIMARISHA USHIRIKIANO UPATIKANAJI NISHATI ENDELEVU

📌  Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevu 📌  Rais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleo 📌  Waziri Mkuu wa Barbados apendekeza ushirikiano wa kimataifa kumaliza changamoto  za nishati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa kuhusu matumizi…

Read More

M23, Rais Tshisekedi uso kwa uso Angola Machi 18

Luanda. Mazungumzo yanayolenga kurejesha amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kati ya viongozi wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23) na Rais Felix Tshisekedi yatafanyika Machi 18,2025. Taarifa ya kufanyika mazungumzo hayo, ilitolewa na Ikulu ya Angola jana jioni kuwa mazungumzo hayo yatafanyika Jijini Luanda nchini humo ambapo viongozi wa…

Read More

Mshery kachemsha kwa Coastal Union

KIPA Abuutwalib Mshery ameshindwa kuendeleza rekodi aliyokuwa nayo dhidi ya Coastal Union akikaa langoni dakika 270 bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa baada ya Miraji Abdallah kuvunja mwiko huo leo katika pambano la Kombe la Shirikisho (FA). Yanga ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam kuvaana na Coastal Union katika mchezo wa hatua…

Read More

Simba kuipeleka robo fainali ya CAF Amaan

SIMBA imepata matumaini ya kuendelea kuutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry baada ya serikali kubainisha umefanyiwa marekebisho yaliyotakiwa na kulitaka Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuukagua tena ili waufungulie, ila imedokezwa kama itashindikana mchezo huo utapelekwa Uwanja wa New Amaan, Zanzibar. Shirikisho…

Read More

Fadlu: Mastaa Simba waliitaka Dabi

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amepongeza juhudi za wachezaji wa timu hiyo baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars na kutinga 16 Bora ya Kombe la Shirikisho, lakini akifichua kuhusu Dabi ya Kariakoo iliyoota mbawa saa chache kabla ya kupigwa kwake, akisema Simba waliiitaka sana. Fadlu alisema kuahirishwa kwa dabi kulifanya wachezaji…

Read More

Mechi zilizobaki Ligi Kuu Bara za jasho na damu

UKIWEKA kando mechi za viporo ikiwamo Dabi ya Kariakoo, asilimia kubwa ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara zimeshuka dimbani mara 23, bado saba kuhitimisha msimu huu wa ligi hiyo. Hiyo inazifanya timu nyingi kuzipigia hesabu kali pointi saba zilizobaki ili kuangalia hatma yao. Kesho Ijumaa, kuna mchezo mmoja wa kiporo, Simba itaikaribisha Dodoma Jiji kwenye…

Read More

Sarafu mtandao bado ni pasua kichwa kwa mifumo ya kibenki

Benki Kuu mbalimbali duniani zimekuwa katika hatua za kutafuta suluhu na mbadala kuhusu matumizi ya sarafu mtandao (Cryptocurrency) katika uchumi. Hali kadhalika kwa Benki Kuu ya Tanzania BOT ambayo pia imekua katika hatua mbalimbali za kutafiti undani wa kadhia hiyo mpya katika mfumo wa fedha ambayo bado ni jambo linalotatiza katika nchi mbalimbali duniani. Sarafu…

Read More

Namna bora ya kukadiria mtaji wa bishara yako

Biashara ni nguzo muhimu ya maisha kwa wengi, hasa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea juhudi zao za kila siku ili kujenga maisha bora. Ili kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, mtaji ndio msingi muhimu. Mtaji unaweza kuwa ni fedha au rasilimali zinazohitajika kuanzisha na kuendesha shughuli za kibiashara. Kujua jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara yako ili…

Read More

Mfumo wa kibinadamu katika kuvunja hatua kama kupunguzwa kwa fedha kulazimisha uchaguzi wa maisha-au-kifo-maswala ya ulimwengu

Tom Fletcher, Katibu Mkuu wa Secretary-kwa Masuala ya Kibinadamualiwaambia waandishi wa habari katika mkutano huo huko New York kwamba shida ya sasa ilikuwa changamoto kali zaidi kwa kazi ya kimataifa ya kibinadamu tangu Vita vya Kidunia vya pili. “Tayari tulikuwa tumezidiwa, chini ya rasilimali na kwa kawaida, na mwaka jana tukiwa mwaka mbaya zaidi kwenye…

Read More