Profesa Assad, Mhadhiri UDSM wawapiga darasa vigogo Chadema

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwemo wajumbe wa kamati kuu watajifungia kwa siku mbili kupigwa darasa la uongozi. Mafunzo hayo kwa viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu yameanza leo Jumatano, Machi 12, 2025 makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam. Walengwa wa mafunzo hayo…

Read More

Rais Samia Suluhu Hassan Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika taasisi za umma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo umejumuisha wateule katika nafasi mbalimbali za uongozi. Katika uteuzi huo, Dkt. Ismael Aaron Kimirei ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More

Kikosi kazi NaCoNGO chazinduliwa – MICHUZI BLOG

BARAZA la Taifa la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali(NaCoNGO), limezindua kikosi kazi cha kitaifa chenye wajumbe 14 wanaotoka katika makundi ya wawakilishi mbalimbali kwa ajili ya kukusanya maoni ya wadau pamoja na kufanya mapitio ya kanuni zinazosimamiwa na baraza hilo. Akizindua Kikosi hicho mapema leo Machi 12,2025 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Baraza hilo,Gasper Makala…

Read More

Watatu kortin wakituhumiwa kumuua ndugu yao

Dar es Salaam. Mkazi wa Bagamoyo, Fred Chaula (56) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka ya kumuua ndugu yao, Regina Chaula (62). Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49), dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis Mhwaga, mkazi wa Iringa. Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani…

Read More