Benki ya NBC Yajizatiti Kushirikiana na Halmashauri Kudhibiti Upotevu wa Mapato, Kuunga Mkono Agizo la Rais Samia.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kushirikiana na halmashauri pamoja na mamlaka zote za tawala za mikoa na serikali za mitaa katika kuboresha ukusanyaji wa mapato kwa njia za kidijitali na kuongeza uwazi katika mifumo ya fedha ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan linalozitaka mamlaka…

Read More

TAASISI ZA FEDHA ZAKARIBISHWA KUTOA ELIMU MUSOMA

Na. Josephine Majura WF, Mara Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Bi. Ainess Anderson, amezikaribisha Taasisi mbalimbali zinazojihusisha na masuala ya fedha kwenda kutoa elimu ya fedha ikiwemo uwekezaji na matumizi sahihi ya mikopo kwa wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma. Alitoa wito huo wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa…

Read More

Yanga kurudia ya mwaka 1965 kwa kuigomea Dabi?

MECHI ya watani wa jadi, Yanga na Simba maarufu kama Dabi ya Kariakoo, imeota mbawa baada ya kuahirishwa na Bodi ya Ligi kwa sababu ya malalamiko ya Simba kuhusiana na sakata la kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya mchezo. Mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikiwa ni marudio katika…

Read More

Maxi apiga mbili Yanga ikifuzu 16 Bora Kombe la FA

YANGA imefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 3-1 huku Maxi Nzengeli akitupia mabao mawili katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Mabingwa hao watetezi wa michuano hiyo, walitumia dakika 21 tu za kipindi cha kwanza kujihakikishia ushindi huo kwa mabao ya Maxi…

Read More

Jeki ilivyomsababishia ulemavu utingo | Mwananchi

Musoma. Hujafa hujaumbika! Ni msemo unaoeleza maisha ya sasa ya Jackson Hamisi aliyepata ulemavu akiwa anatengeneza gari. Hamisi (26), mkazi wa Kijiji cha Masurura wilayani Butiama, Mkoa wa Mara anasema Aprili 29, 2021 saa 12:00 jioni ni siku ambayo kamwe hataisahau maishani mwake. Ni siku iliyobadilisha maisha kutoka alivyokuwa mwenye viungo kamili hadi kuwa mwenye…

Read More

DC Mwangwala Elimu ya Kodi Itasaidia Taifa

Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala akizungumza na maafisa Forodha kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania, hivi karibuni wakati maafisa hao walipofika wilayani hapo katika ziara ya siku moja kwa ajili ya kutoa elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara na Wananchi kwa ujumla. MKUU wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala, amesema kuwa endapo wananchi wataelewa…

Read More

Meridianbet Kasino Ushindi Mkubwa na Lucky Dolphin – Global Publishers

Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikanabaharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasinomtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwaLucky Dolphin. Lucky Dolphin ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka kwa mtayarishaji…

Read More