Safari ya benki ilivyomuacha na ulemavu wa kudumu mwalimu

Mufindi.  Aprili 21, 2019 inabaki kwenye kumbukumbu za mwalimu Silvester Lyuvale, siku aliyopata ajali iliyomsababishia ulemavu wa kudumu. Lyuvale (52), mwalimu wa Shule ya Msingi Kinyanambo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, wilayani Mufindi, mkoani Iringa baada ya ajali alikatwa miguu yote miwili. Alipopata ajali hiyo alikuwa Ofisa Elimu Kata ya Wambi. Akizungumza na Mwananchi, anasema…

Read More

Othman atangaza siasa za mapambano ACT-Wazalendo

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo, Othman Masoud amesema mwekeleo wa sasa wa chama hicho, ni kufanya siasa za mapambano na si laini na nyepesi zisizotoa dira ya demokrasia ya kweli. Othman ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema mapambano hayo, siyo ya kupigana bali kutafuta mageuzi katika mfumo wa siasa…

Read More

Jamii yatakiwa kuwakumbuka wanawake wenye saratani

Dar es Salaam. Wakati magonjwa yasiyoambukiza ikiwamo saratani yakitajwa kushamiri nchini, jamii imeaswa kuwakumbuka wanawake wenye ugonjwa huo kwa mahitaji na kuwapa moyo. Kwa mujibu wa takwimu ya Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi mwaka 2022, kulikuweko na wagonjwa wapya milioni 20 wa saratani na kati yao hao milioni 9.7 walifariki dunia. Hayo yamesemwa na…

Read More

SICPA Tanzania Marks International Women’s Day with a Heartfelt Donation to Ocean Road Cancer Institute

  Pictured are women employees of SICPA Tanzania at the Ocean Road Cancer Institute in Dar es Salaam, where they distributed essential supplies to cancer patients as part of the company’s International Women’s Day Corporate Social Responsibility (CSR) initiative. This initiative, led by SICPA Tanzania’s General Manager, Mr. Alfred Mapunda, reflects the company’s commitment to…

Read More

WADAU WANAKUJA NA MIKAKATI YA KUHAMASISHA WASICHANA NA WANAWAKE WENYE ULEMAVU KUSHIRIKI MICHEZO

Na Nihifadhi Abdulla KATIKA jamii nyingi, wanawake wenye ulemavu wanakumbwa na changamoto nyingi zinazowazuia kushiriki katika michezo. Pamoja na uwepo wa mikataba ya kimataifa kuhusu haki za binadamu, bado kuna uelewa mdogo kuhusu nafasi ya wanawake wenye ulemavu katika sekta ya michezo. Miongoni mwa changamoto kubwa zinazotajwa kuathiri ushiriki wao ni mitazamo potofu ya jamii…

Read More

Mikakati kuimarisha kilimo biashara Zanzibar

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar imesema itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji ili kuimarisha kilimo cha biashara visiwani humo. Hayo yamesemwa leo Machi 12, 2025 na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Ali Khamis Juma wakati wa utiaji saini wa makubaliano ya uanzishwaji wa mradi wa kuimarisha kilimo biashara nchini na kampuni ya…

Read More

KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MINNE TRA IMEFUKUZA KAZI WATUMISHI 14, SITA WAMEPUNGUZIWA MSHAHARA NA KUSHUSHWA VYEO

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuimarisha weledi na uadilifu wa watumishi wa taasisi hiyo ambapo katika kipindi cha miaka minne imefukuza kazi watumishi 14 na kushusha mshahara watumishi 6 na kushushwa cheo na kupunguziwa mshahara watumishi 12 huku watumishi 22 wakipewa barua za onyo. Kauli hiyo imetolewa na Kamishina…

Read More