Misheni ya Amani ya UN imejaa, na uaminifu 'katika usambazaji mfupi' na mgawanyiko wa kupanuka – maswala ya ulimwengu

Kushughulikia a Mjadala wa kiwango cha juu katika Baraza la Usalamaalitaka mageuzi ya haraka kufanya utunzaji wa amani kubadilika zaidi kwa mazingira magumu ya leo ya usalama. “Vita vinazidi kuwa ngumu na mbaya zaidi. Wao hudumu kwa muda mrefu na wamejaa zaidi katika mienendo ya kimataifa na ya kikanda. Makazi yaliyojadiliwa yamekuwa magumu kufikia“Bwana Guterres…

Read More

Jinsi sanaa na utamaduni zinaweza kusaidia kumaliza ubaguzi wa rangi – maswala ya ulimwengu

“Ujinga huruhusu ubaguzi wa rangi, lakini ubaguzi wa rangi unahitaji ujinga. Inahitaji kwamba hatujui ukweli,” anasema Sarah Lewis, profesa wa masomo ya Kiafrika na Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Harvard na mwanzilishi wa The Vision & amp; Programu ya Haki huko, ambayo inaunganisha utafiti, sanaa, na utamaduni kukuza usawa na haki. Bi Lewis alikuwa katika…

Read More

PONDEZA AWAFIKIA WAGONJWA WASIOJIWEZA PAMOJA NA WAZEE.

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni, Mh: Ussi Salum Pondeza amewajulia hali wagonjwa na wazee wasiojiweza na kuwakabidhi Iftar ikiwa ni utaratibu aliyojiwekea kila unapofika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Alhaj, Pondeza ametumia fursa hiyo kuwaombea dua wagonjwa na wazee hao na kuwaeleza kuwa kipindi hiki cha kumi la mwisho la Ramadhan waendelee kukithirisha kufanya ibada ili…

Read More

UWEZO TANZANIA KUTAFUTA UFUMBUZI WA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI VIJANA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la Serikali la UWEZO TANZANIA limelenga kutafuta ufumbuzi wa Changamoto zinazowakabili vijana katika kupata stadi za maisha ili waweze kuwa na maarifa na uwezo wa kuishi katika misingi bora inayokubalika na jamii. Mkurugenzi wa shirika hilo la UWEZO TANZANIA Baraka Mgohamwende amesema hayo katikak Mkutano uliohusisha wadau mbalimbali,…

Read More

Sh1.5 bilioni kukwamua mradi wa maji  Hanang

Hanang’. Watu 4,995 wa Kata ya Hidet, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, watanufaika na mradi wa maji kutoka Ziwa Bassotughang baada ya kujengwa kwa mitambo ya kusafisha kwa matumizi ya binadamu. Kujengwa kwa mradi huo kunaenda kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama katika eneo hilo. Baadhi ya wakazi wa Hidet, wakizungumza baada ya…

Read More

MONGELLA ATOA WITO WA AMANI KWA WANA~CCM UCHAGUZI MKUU 2025

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, amewataka wanachama wa chama hicho kudumisha amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza leo, Machi 24, 2025, jijini Arusha kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mongella amewahimiza wana-CCM kuwa makini na kuepuka vishawishi vinavyoweza kusababisha…

Read More