135,027 waomba ajira TRA, kuajiriwa kabla ya Juni

Dodoma. Watu 135,027 wameomba ajira katika nafasi 1,596 zilizotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Februari 6, mwaka 2025 TRA ilitangaza nafasi za ajira katika idara za mapato ya ndani, forodha na ushuru, usimamizi na utawala wa raslimali watu. Nyingine ni utafiti na mipango, fedha, ukaguzi wa ndani, mambo ya ndani na idara ya viatarishi…

Read More

Wataalamu waonya matumizi mabaya ya viti mwendo

Dar es Salaam. Matumizi ya viti mwendo visivyo sahihi yanatajwa kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kwa watu wenye changamoto za ulemavu wa miguu, wataalamu wameonya. Viti mwendo vinachukuliwa kuwa msaada muhimu kwa watu wenye changamoto za ulemavu wa miguu. Hata hivyo, iwapo havitachaguliwa ipasavyo, vinaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya badala ya kusaidia hali ya…

Read More

Ujenzi wa uwanja wa ndege Msalato wafikia asilimia 85

Dodoma. Ujenzi wa Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Msalato jijini Dodoma umefikia asilimia 85 kwa njia za kurukia ndege, huku majengo ya abiria yakifikia asilimia 51. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Augustino Vuma ameyasema hayo leo Jumatano, Machi 12, 2025 baada ya kamati yake kutembelea…

Read More

Safari ya benki ilivyomuacha na ulemavu wa kudumu

Mufindi.  Aprili 21, 2019 inabaki kwenye kumbukumbu za mwalimu Silvester Lyuvale, siku aliyopata ajali iliyomsababishia ulemavu wa kudumu. Lyuvale (52), mwalimu wa Shule ya Msingi Kinyanambo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, wilayani Mufindi, mkoani Iringa baada ya ajali alikatwa miguu yote miwili. Alipopata ajali hiyo alikuwa Ofisa Elimu Kata ya Wambi. Akizungumza na Mwananchi, anasema…

Read More

Serikali yasisitiza majibu mazuri huduma kwa wateja Tanesco

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema wapokeaji wa simu za wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wanaopiga simu kwa ajili ya kuhitaji huduma,  wanapaswa kutoa majibu mazuri. Amesema majibu yanayotolewa kwa wateja ndiyo yanayobeba taswira ya shirika hilo la umeme nchini, hivyo wahudumu wanapaswa kuzingatia suala hilo. Kapinga ametoa kauli…

Read More

MV VICTORIA KUSITISHA HUDUMA, TASHICO YATOA UFAFANUZI

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA MELI ya MV Victoria inayomilikiwa na Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO),imepandishwa kwenye chelezo (dry dock) kwa ajili ya kufanya ukaguzi na kubaini changamoto za kiufundi, hasa katika mitambo,sehemu ya juu ya meli na mwili wa chini wa meli ndani ya maji. Msimamizi wa Usalama wa Meli na Uhifadhi wa Mazingira,Capt.Bembele Ng’wita,amesema…

Read More