WALIOCHUKUA KADI ZA BENKI ZA WATUMISHI KINYUME NA SHERIA KUBANWA
Na. Peter Haule, WF, Rorya Mara. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, Bw. Abdul Mtaka, ametoa agizo kwa taasisi zenye tabia ya kushikilia kadi za benki za watumishi wa Umma kama dhamana wanapokopa kuacha mara moja vitendo hivyo kwa kuwa ni kinyume cha Sheria. Agizo hilo amelitoa Wilayani Rorya alipotembelewa na…