Wagombea viti maalumu CCM kupigiwa kura na wajumbe hawa

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza wajumbe watakaoshiriki mchakato wa kuwapigia kura watia nia wa ubunge na udiwani wa viti maalumu kupitia jumuiya zake za vijana (UVCCM), wanawake (UWT) na Wazazi. Hatua hiyo ni baada ya chama hicho, kufanya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya dola, uliohusisha upanuzi…

Read More

UEFA Kukupatia Mzigo Mkubwa Leo

JUMANNE ya kutusua na wakali wa ubashiri imefika leo ambapo leo hii ligi ya mabingwa Ulaya mechi za marudiano zitapigwa leo huku wewe ukiwa na nafasi ya kuibuka bingwa. Mapema kabisa FC Barcelona baada ya kushinda ugenini mechi yake ya kwanza leo hii atakuwa na kibarua cha kupepetana dhidi ya Benfica ambao kushinda mechi hii…

Read More

UJUMBE WA KISAYANSI KUTOKA URUSI WATEMBELEA TAFORI KUJADILI USHIRIKIANO WA UTAFITI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro KATIKA jitihada za kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika utafiti wa misitu na uhifadhi wa mazingira, ujumbe wa wanasayansi kutoka Urusi umetembelea Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI). Ziara hii ya siku mbili inalenga kuimarisha uhusiano wa kisayansi, kielimu na kiteknolojia kati ya Tanzania na Urusi katika sekta ya misitu na uhifadhi…

Read More