Kijana atoweka kwa siku 10, mama yake apaza sauti

Geita. Abrahaman Habiye, mkazi wa Mtaa wa Uwanja, Kata ya Nyankumbu mjini Geita anadaiwa kutoweka tangu Machi Mosi, 2025 alipochukuliwa na watu wasiojulikana. Habiye (24), aliyekuwa akiuza duka la nguo la mama yake, inadaiwa alifuatwa na watu walioshuka kwenye gari jeupe aina ya Toyota Land Cruiser lenye vioo vyeusi waliojifanya wateja. Jeshi la Polisi limethibitisha…

Read More

UNACHOHITAJI KUJUA KUHUSU BIMA YAKO YA AFYA

  Na Mwandishi Wetu OFISA Mkuu wa Usambazaji kutoka Kampuni ya Jubilee Insurance Rogation Selengia anaeleza kuwa Bima ya afya sio tena anasa bali ni lazima. Akizungumza kuhusu umuhimu wa Bima Selengia anasema pamoja na gharama za matibabu zinazoongezeka, mpango bima sahihi na unaofaa unatoa ufikiaji wa huduma muhimu bila mzigo wa msongo wa kifedha….

Read More

Mpango kulinda rasilimali za bahari huu hapa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikipigia chapuo upatikanaji nwa tija katika uchumi unaotokana na maji maarufu ‘uchumi wa buluu’, mpango wa kulinda na kuendeleza rasilimali zilizopo baharini umezinduliwa. Kampeni mpya yenye lengo la kufufua uchumi wa buluu wa Afrika Mashariki imezinduliwa na shirika la Ascending Africa. Kampeni hiyo iliyopewa jina la Kilindini inalenga kushughulikia hitaji…

Read More

Ushiriki wa Marekani utamaliza vita DRC?

Dar es Salaam. Tangu mwanzoni mwa 2025 kumekuwa na mjadala kuhusu uwezekano wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Marekani katika sekta ya madini muhimu. DRC, Taifa lenye utajiri wa rasilimali kama kobati, lithium, urani, shaba, dhahabu na madini mengine adimu, imekuwa ikitafuta washirika wa kimataifa kuwekeza katika sekta…

Read More

Mahakama yamuonya Malisa kutofika mahakamani

Dar es Salaam: Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imemuonya mwanaharakati Godlisten Malisa, ambaye anashiriki katika kesi ya jinai pamoja na meya mstaafu, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Mahakama hiyo imesema kwamba, endapo Malisa hatohudhuria usikilizwaji wa kesi yao siku nyingine, atachukuliwa hatua ikiwamo kupelekewa mahabusu. Katika kesi hiyo, wawili hao wanakabiliwa na mashitaka matatu ya…

Read More

Mahakama yamuonya mshirika wa Boni Yai kutofika mahakamani

Dar es Salaam: Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imemuonya mwanaharakati Godlisten Malisa, ambaye anashiriki katika kesi ya jinai pamoja na meya mstaafu, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Mahakama hiyo imesema kwamba, endapo Malisa hatohudhuria usikilizwaji wa kesi yao siku nyingine, atachukuliwa hatua ikiwamo kupelekewa mahabusu. Katika kesi hiyo, wawili hao wanakabiliwa na mashitaka matatu ya…

Read More

Waukraine wanasisitiza kwamba makubaliano ya amani lazima ni pamoja na haki – maswala ya ulimwengu

Huduma za Uokoaji husaidia wakaazi katika maeneo ya Kyiv yaliyopigwa na mashambulio ya Urusi, Ukraine, Januari 2024. Mkopo: Pavlo Petrov/Mkusanyiko wa vita.ukraine.UA na Catherine Wilson (London) Jumanne, Machi 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LONDON, Mar 11 (IPS) – Baada ya miaka mitatu ya umwagaji damu, ujasiri wa ajabu na dhabihu kubwa katika kupinga…

Read More