Benki ya Exim Yazindua Huduma ya Lipa ChapChap Kuongeza Malipo ya Kidijitali na Ushirikishwaji wa Kifedha

Benki ya Exim Tanzania imezindua rasmi huduma yake mpya inayojulikana kama Lipa Chapchap, suluhisho bunifu la malipo ya kidijitali ambalo linarahisisha miamala kwa biashara na watu binafsi. Njia hii ya malipo maarufu kama “Maliza Kirahisi na Lipa ChapChap’ inayowafaa wafanyabiashara, ambayo ni salama na yenye ufanisi, inaimarisha dhamira ya Benki ya Exim kwa uboreshaji wa…

Read More

Kilichoiponza Kirumba chatajwa, Mtanda atoa siku saba

Baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza kutumika kwa mechi mbalimbali, imebaibishwa kuwa eneo la kuchezea (pitch), kukosekana kwa maji, huduma ya vyoo, kiyoyozi na upungufu wa mabenchi katika vyumba vya wachezaji (dressing room) ndiyo chanzo cha adhabu hiyo. Hayo yameelezwa leo Machi 11, 2025 na Mratibu…

Read More

Kumekucha Ramadhani Cup | Mwanaspoti

MASTAA wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuunda timu zao zitakazoshiriki katika mashindano ya Kombe la Ligi ya Ramadhani, yatakayoenda kwa jina la Ramadhani Star Ligi na kufanyika kwenye Uwanja wa Spide. Akiongea na Mwanasposti kwenye Uwanja wa Spide, mratibu wa mashindano hayo, Mohamed Yusuph, alisema mashindano hayo yatakayokuwa yakifanyika…

Read More

Makundi ya waasi DRC yadaiwa kujiunga M23, Marekani yajitosa

Goma. Takriban vikundi vitatu vya wapiganaji wa kundi la wazalendo wanaoliunga mkono Jeshi la Serikali ya Jamhuri Kidemokrasia ya Congo (FARDC) Kivu Kaskazini wameasi na kujiunga na muungano wa makundi ya waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23). Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini DRC, taarifa iliyosainiwa na kiongozi wa wazalendo, Shukuru Bulenda, vikundi hivyo…

Read More