Bwana mkurugenzi mpya Twaweza akichukua nafasi ya Eyakuze

Dar es Salaam. Taasisi ya Twaweza Afrika Mashariki imetangaza uteuzi wa Anna Bwana kuwa Mkurugenzi Mtendaji wake mpya, kuanzia Mei 15, 2025. Bwana, mwenye uzoefu katika masuala ya utawala, anachukua nafasi ya Aidan Eyakuze, ambaye amekwenda kuiongoza Taasisi ya Open Government Partnership. Uteuzi wa Bwana unatokana na mchakato wa kuteua viongozi uliofanyika kwa kina, ukilenga…

Read More

TUNATAKA KUWAUNGANISHA WATANZANIA KATIKA MAOMBI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU,TUPATE VIONGOZI WENYE HEKIMA NA BUSARA-MSAMA

 Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kamati ya maandalizi ya tamasha la Kuombea uchaguzi Mkuu  maalum linalotarajia kufanyika mikoa 26 ya Tanzania, likianza jijini Dar es Salaam yanaendelea. Mkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa tamasha hilo , Alex Msama, amesema maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vizuri,na kuwa tamasha hilo litakuwa ni sehemu ya maandalizi ya kiroho…

Read More

Mikopo ya asilimia 10 yapatiwa mwarobaini

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya asilimia 10 ili kujikwamua kiuchumi, kuondokana na umaskini na kusaidia kuirejesha kwa wakati. Amesema; “Mafunzo ya usimamizi mzuri wa vikundi, utatuzi wa migogoro, usimamizi wa biashara, utunzaji wa kumbukumbu pamoja …

Read More

NBS yawabana wazalishaji wa takwimu nchini

Dodoma. Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) imekabidhi ripoti ya utafiti ya Sheria ya Takwimu, lengo likiwa ni kuiwezesha Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kuweka mfumo utakaowezesha wazalishaji wote wa takwimu rasmi kuwasilisha takwimu zao katika ofisi hiyo. Mwenyekiti wa LRCT, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Winfrida Korosso amesema hayo leo Jumatatu Machi 24,…

Read More

WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MBILI KILIMANJARO..

    NA WILLIUM PAUL, MOSHI. WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasimu Majaliwa Majaliwa anatarajiwa kuwasili kesho mkoani Kilimanjaro kwa ziara ya siku mbili ambapo atatembelea wilaya za Mwanga, Rombo na Moshi kukagua miradi mbalimbali pamoja na kuifungua huku mingine akiweka mawe ya msingi. Akitoa taarifa za ujio huo ofisini kwake kwa…

Read More

Mchungaji Mono: Nilivyoona taarifa ya uteuzi wangu mtandaoni nilitokwa na machozi

Moshi. Askofu Mteule wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mchungaji Daniel Mono amesimulia namna alivyopokea kwa mshtuko na machozi taarifa za kuchaguliwa kwake kuiongoza dayosisi hiyo, kumrithi mtangulizi wake, Askofu Chediel Sendoro. Mchungaji Mono amepokewa leo Jumatatu, Machi 24,2025 katika dayosisi hiyo ya Mwanga, akitokea Shinyanga alikokuwa akihudumu. Amesema…

Read More

Wananchi watofautiana Jimbo la Ukonga kugawanywa

Dar es Salaam. Wananchi wa Ukonga wameonyesha mitazamo tofauti ya kugawanywa kwa jimbo la Ukonga ili kuwa na majimbo mawili, Ukonga na Kivule. Mitazamo hiyo imekuja saa chache baada ya Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) kueleza kuridhia mapendekezo ya kuligawa jimbo hilo. Mapendekezo hayo yamepokelewa kwa hisia tofauti na baadhi…

Read More