
WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO WAPEWA SEMINA
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Masoko ya Kariakoo limeendesha Semina ya Siku mbili kwa waliokuwa wafanyabiashara wa soko la Kariakoo ambao wanatarajiwa kurejeshwa ndani ya soko kufuatia kukamilika kwa mradi ujenzi na ukarabati wa soko. Akizungumza na waandishi wa habari katika Semina hiyo leo Machi 11,2025 Jijini Dar es Slaam, Afisa Uhusiano Mkuu…