Simba v TMA Shirikisho hii mechi ipo!

BAADA ya kushindwa kuchezwa kwa mechi ya Dabi ya Kariakoo wikiendi iliyopita dhidi ya Yanga katika Ligi Kuu Bara, leo jioni Simba inatarajiwa kushuka uwanjani kuvaana na TMA Stars ya Arusha ukiwa ni mchezo wa hatua ya 32 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA). Hii ni kati ya mechi tatu za michuano hiyo…

Read More

Mbinu Sahihi Kwa Anayetaka Kuolewa! – Global Publishers

Last updated Mar 11, 2025 Maisha yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Matokeo yake wengi wamejikuta wakichanganyikiwa pindi tu wanapotangaziwa ndoa. Mwanamke akiambiwa ninakuoa, akili yote inamruka. Hana muda wa kuhoji mara mbili, cha muhimu ni kusikia tu ile kauli ya ‘nitakuoa’. Hiyo kwake…

Read More

Utamu kamili wa kikapu uko hivi

UNAUPENDA mchezo wa kikapu? Sasa hapa kuna mawili matatu kuhusu mchezo huo. Kwanza wachezaji wanaotakiwa kucheza uwanjani ni watano, kati ya wachezaji 12 wanaoandikishwa kwa kila mchezo. Tofauti na mchezo wa soka, ambako mchezaji akitoka haruhusiwi kurejea mchezoni, katika kikapu wachezaji wanaingia na kutoka. Nafasi tano zinazochezwa na wachezaji hao katika kikapu ni ya point…

Read More

Habari njema kuhusu afya ya Papa Francis

Rome. Vatican imesema kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis hayuko tena kwenye hatari ya kifo kutokana na maradhi yanayomsumbua, huku ikieleza kuwa dawa anazotumia zimeanza kuonyesha matokeo chanya kwenye mwili wake. Taarifa ya Vatican leo Jumanne Machi 11, 2025, imesema kuwa ishara ya maendeleo na kuimarika kwa afya ya kiongozi huyo imeonekana jana…

Read More

NMB YAUBEBA MKUTANO WA 39 WA ALAT

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. BENKI ya NMB imetoa Jumla ya Sh170 milioni kama sehemu ya udhamini wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT). Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya fedha Sh1.4 bilioni zilizokwishakutolewa na benki hiyo kwa ajili ya ALAT katika kipindi cha miaka 9 tangu NMB ilipoanza…

Read More

MWISHO KURUDISHA FOMU VUNJABEI CUP 2025 NI LEO

NA DENIS MLOWE, IRINGA, TIMU 50 zinazotarajiwa kushiriki mashindano ya kugombea Kombe la VunjaBei lenye kitita cha sh. Milioni 10 kwa bingwa zimetakiwa kurudisha fomu leo Machi 11 ikiwa siku ya mwisho. Akizungumza na mwanahabari Katibu wa mashindano hayo Pastor Kwambiana alisema kuwa timu zote zilizofuzu hatua ya 50 bora kwamba saa kumi jioni ya…

Read More

Aliyekuwa Rais wa Ufilipino akamatwa kwa tuhuma za mauaji

Manila. Aliyekuwa Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, amekamatwa leo  Jumanne Machi 11, 2025 mjini Manila kwa hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kwa mujibu wa The New York Times, Duterte amekamatwa baada ya Mahakama ya ICC kutoa waranti inayomtuhumu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu katika vita vyake vya dawa za kulevya,  ambapo mashirika…

Read More