Kwa nini muhimu shule kuwa na wanasaikolojia?

Lengo la adhabu huwa ni kutokomeza au kuondoa tabia isiyofaa kwa mwanafunzi au mtoto. Fimbo inapotumika mara nyingi huambatana na karipio, ambalo huondoa hali ya kujiamini kwa mwanafunzi au mtoto. Utafiti mwingi unaonesha mtoto anayekaripiwa mara nyingi huwa katika hatari ya kupoteza uwezo wa kujiamini na kujifunza kwa uhuru, kwa sababu anakuwa kwa sehemu kubwa…

Read More

Mjadala wa viboko kwa wanafunzi, suluhu hii hapa

Katika gazeti hili toleo la tarehe 5/3/2025 kulikuwa na kichwa cha habari: “Mwanafunzi afariki dunia kwa kipigo.”  Halafu katika tolea la tarehe 6/3/2025, mhariri akaandika maoni ya gazeti  kwa kichwa cha habari kisemacho: “Viboko hadi kifo vikomeshwe shuleni.”  Nampongeza mhariri kwa maoni hayo mazuri. Na kesho yake tarehe 7/3/2025 tukaona tena habari hii: “Sababu mwili…

Read More

Zainab ni zaidi ya mwalimu kwa watoto shuleni

Dodoma. Umewahi kusikia maneno; ualimu ni wito? Ni msemo wa miaka mingi japo mabadiliko ya kimaisha yamewavaa baadhi ya watu wanaomini msemo huo hauna maana tena katika dunia ya sasa. Kwao ualimu ni ajira, mengine yatafuata. Hata hivyo, kwa baadhi ya walimu akiwamo Zainab Yamlinga, hadithi ni tofauti. Pengine kwake ualimu ni zaidi ya wito….

Read More

NMB watia saini makubaliano na NM-AIST kukuza na kuendeleza Teknolojia

Benki ya NMB imesaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati (MoU) na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) yanayolenga kutambua, kuyatamia, na kuendeleza vipaji vya bunifu za teknolojia ya kidijitali.Pia makubaliano hayo yatasaidia kutekeleza tafiti na bunifu zinazozalishwa na wahitimu na wataalam wa NM-AIST, kwa lengo la kutatua changamoto katika jamii…

Read More

UNUNUZI WA UMEME ETHIOPIA KUIMARISHA HUDUMA YA UMEME KANDA YA KASKAZINI-KATIBU MKUU MRAMBA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana Tanzania kununua umeme Nchini Ethiopia nj kuimarisha upatikanaji wa umeme kwa mikoa ya kanda ya Kaskazini. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana Tanzania kununua umeme Nchini Ethiopia nj kuimarisha upatikanaji wa…

Read More