Gugu maji latishia ufugaji wa vizimba Ziwa Victoria

Mwanza. Ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya Ziwa Victoria umetajwa kuwa hatarini baada ya gugu maji jamii ya Salvinia SPP kuendelea kuzaliana kwa kasi. Gugu maji hilo lililobainika hivi karibuni linazaliana mara mbili hadi tatu kila baada ya siku nane, ndani ya Ziwa Victoria. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea eneo la…

Read More

Jeshi la Zimamoto kuajiri watumishi wapya 1,000

Morogoro. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amesema katika bajeti ijayo Serikali imepanga kuajiri watumishi wapya 1,000 wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini. Mkomi amesema hayo leo Jumatatu, Machi 10, 2025, wakati akifungua kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji…

Read More

Mwanakwaya auawa akienda kanisani | Mwananchi

Shinyanga. Mwanakwaya Agatha Daniel (32) ameuawa kwa kukatwa mgongoni na mkono wa kulia kwa kitu chenye ncha kali wakati akienda kanisani. Mwanakwaya huyo, mkazi wa Mtaa wa Bugayambelele katika Manispaa ya Shinyanga, aliuawa jana, saa 12:30 alfajiri wakati akiwa njiani kuelekea kanisani. Akizungumzia tukio hilo, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga, Kenedy…

Read More

Chama la Wana laing’oa Fountain Gate FA

FOUNTAIN Gate imekuwa timu ya nne ya Ligi Kuu Bara kung’olewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya jioni hii kufungwa kwa penalti 4-3 na Stand United ‘Chama la Wana’ licha ya kucheza kwenye uwanja wa nyumbani wa Tanzanite Kwaraa, uliopo mjini Babati, Manyara. Dakika 90 za pambano hilo liliisha kwa sare ya…

Read More

Watendaji waonywa kuingilia migogoro ya ndoa

Kibaha. Kitendo cha baadhi ya maofisa watendaji wa kata nchini kujigeuza kuwa wasuluhishi na waamuzi wa migogoro ya ndoa na ardhi bila kufuata utaratibu, kimeelezwa kinasababisha uvunjifu wa amani katika jamii. Wahiriki wa mafunzo hayo wskiendelea kufuatilia mada mbalimbali,Picha na Sanjito Msafiri Kwa mujibu wa kanuni za utendaji zilizopo, maofisa hawa wanaruhusiwa kusikiliza migogoro ya…

Read More

Josiah, TZ Prisons lolote litatokea

KIPIGO cha mabao 4-0 walichokumbana nacho Tanzania Prisons kutoka kwa Azam FC, huenda kikaondoka na kichwa cha mtu kufuatia mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha kwa maafande hao. Timu hiyo iliyopo nafasi ya 15 kwa pointi 18, haijawa na mwenendo mzuri tangu kukabidhiwa majukumu, kocha Aman Josiah aliyerithi nafasi ya Mbwana Makata aliyesitishiwa mkataba. Katika mechi nane…

Read More