
Adakwa kwa kuanzisha kituo feki cha polisi
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Collins Leitich mkazi wa Kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya anashikiliwa na polisi nchini humo kwa kosa la kuanzisha kituo cha polisi na kukiendesha kinyemela bila ya idhini ya Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS). Kwa mujibu wa mtandao wa Tuko wa nchini humo, Leitich alipaka kituo hicho rangi…