Mwanafunzi kortini kwa kuchezea picha ya Nyerere

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa Chuo cha Koteti kilichopo mkoani Tanga, Bonus Mbono (21) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu, likiwemo la kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa TikTok na kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine. Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Machi 10, 2025…

Read More

Profesa Sarungi atakavyoishi kwenye kumbukumbu za watu

Dar es Salaam. Shuhuda za huduma za matibabu, hasa za kuwaunganisha mifupa Watanzania mbalimbali, zinamfanya Profesa Philemon Sarungi aendelee kuishi mioyoni mwa watu, wakati leo Jumatatu, Machi 10, 2025, atazikwa katika makazi yake ya milele.Sambamba na hilo, maono yake yaliyochochea kuanzishwa kwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), imeibua shinikizo la wadau na baadhi ya viongozi…

Read More

Kula vyakula hivi kukabiliana na maumivu ya hedhi

Dar es Salaam. Wakati wa hedhi kuna baadhi ya wanawake hupitia changamoto ya kupata maumivu makali hali inayosababisha kushindwa kufanya shughuli zao mbalimbali. Kwa mujibu wa wataalamu, maumivu hayo hutokana na kitendo cha misuli ya uterasi kukaza na ambacho huratibiwa na homoni ya ‘prostaglandins’. Waathirika wa maumivu hayo hutumia njia mbalimbali wanazoamini zitawasaidia kupunguza maumivu…

Read More