Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mpenzi wake

Moshi. Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro imemhukumu kunyongwa hadi kufa, Erasto Mollel (32) kwa kosa la kumuua mpenzi wake, Josephine Mngara (30) kwa kumpiga na jembe kichwani, kisha kuuchoma moto mwili wake kwenye pagale. Mbali na hukumu hiyo, mshtakiwa wa pili katika kesi hiyo, Samweli Mchaki ameachiwa huru na baada ya upande wa…

Read More

Sh6 Bilioni kuimarisha uzalishaji na usalama wa chakula

Unguja. Ili kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa chakula kwa kuimarisha sekta za misitu, kilimo, maji, na ardhi, umetambulishwa mradi wa Dola milioni 2.35 za Marekani (Sh6.042 bilioni) kisiwani Zanzibar. Mradi huo unaofadhiliwa na Benki ya Duniana Global Environmental Fund (GEF) unatarajiwa kutekelezwa kwa miaka mitano kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi…

Read More

Lissu, Chalamila walivyomzungumzia Profesa Sarungi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu, amesema kuwa Profesa Philemon Sarungi amefanya kazi nzuri nchini na kwamba maisha yake yanapaswa kusherehekewa. Lissu amesisitiza kuwa uwepo wa watu wa aina hiyo duniani unafanya maisha kuwa bora na ya maana zaidi. “Kuna nini la kusema zaidi? Nafikiri uwepo wa watu wa aina hii katika…

Read More