TANESCO RUVUMA YAENDELEA NA ZIARA YA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA UMEME

 NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA  Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limeendelea na ziara yake ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya umeme, Ziara hiyo imekita kambi  eneo la Mitendewawa, kata ya Mshangano, ambapo wananchi wamejifunza hatua mbalimbali za kuhakikisha wanapata na kutumia umeme kwa usahihi.  Afisa Uhusiano na huduma kwa…

Read More

Aziz KI aingia anga za MO Salah, Mane

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwenye tuzo za African Golden Awards akishindana na nyota kibao wa Afrika wakiwamo Mohamed Salah wa Liverpool na Sadio Mane wa Al Nassr. Aziz KI, nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso anawania kipengele cha pili kwenye tuzo hizo zitakazotolewa Aprili 5,…

Read More

Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu CCM

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo Machi 10, 2025 jijini Dodoma. Kikao hicho kitafuatiwa na kile cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC). Hata hivyo, taarifa ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla haikuweka wazi…

Read More

Mramba: Kununua umeme ethiopia kuna faida kuliko hasara

Dar es Salaam. Kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu mchakato wa kununua umeme kutoka Ethiopia, imeendelea kuwaibua maofisa wa Serikali kuifafanua kwamba kuna manufaa kwa nchi na sio hasara kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu. Miongoni mwa wengine, waliotoa ufafanuzi huo ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba na Gerson…

Read More

Mchungaji Mono amrithi Sendoro Dayosisi ya Mwanga

Mwanga. Msaidizi wa askofu wa Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria (DKMZV), Mchungaji Daniel Mono amechaguliwa kuwa mkuu mteule wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Dk Mono amechaguliwa leo Machi 10, 2025 katika mkutano mkuu maalumu uliofanyika katika Kanisa Kuu la Dayosisi ya Mwanga, bila mwenyewe kuwepo. Katika…

Read More

Aucho, Mukwala kusaka fainali Kombe la Dunia 2026

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala wameitwa katika kikosi cha Uganda kinachojiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 zinazotarajiwa kupigwa hivi karibuni. Kocha wa Uganda, Paul Put ameita kikosi hicho chenye mchanganyiko wa wachezaji wanaocheza katika klabu za Uganda na wale wa timu za nje ya…

Read More

Msongo wa mawazo unavyoweza kukunenepesha

Dar es Salaam. Wanasaikolojia wanasema moja kati ya sababu zinazoweza kumfanya mtu kuwa mnene kupindukia,  ni kukabiliwa na msongo wa mawazo. Mwanasaikolojia Charles Kalungu amesema msongo unaweza kumfanya mtu anenepe kwa sababu ya kuvurugwa kwa mfumo mzima wa mwili na akili,  ambapo mtu hujaribu kujitafutia furaha kupitia kula vyakula bila kujali kama vina  faida au…

Read More