Kamati Kuu Chadema kukutana Dar, Dk Slaa atajwa

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inakutana katika kikao maalumu cha siku mbili kuanzia leo Jumatatu Machi 10-11, 2025 kujadili masuala mbalimbali, ikiwemo usaili wa wagombea katika kanda ya Unguja. Kanda hiyo ni sehemu ya kanda 10 za Chadema ambazo nyingine tisa zimeshamaliza uchaguzi wake na ilibaki ya Unguja…

Read More

Odundo CEO mpya wa NMG

Nairobi. Geoffrey Odundo ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Nation Media Group (NMG). Akitoa tangazo hilo kwa niaba ya bodi leo Jumatatu, Machi 10, 2025, Mwenyekiti Wilfred Kiboro amesema Odundo anajiunga na NMG ili kuimarisha timu na kuendelea kutekeleza jukumu ambalo NMG inatekeleza katika jamii. Kabla ya uteuzi wake, Odundo alikuwa…

Read More

TFF yafungia viwanja vitatu kwa kutokidhi vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa kutumika kwa Ligi Kuu. Viwanja vilivyokumbana na rungu hilo ni Jamhuri, Dodoma unautumiwa na Dodoma Jiji FC, CCM Kirumba, Mwanza unaotumiwa na Pamba Jiji FC, na Liti, Singida unaotumiwa na…

Read More

Mwambusi aitangazia vita Yanga | Mwanaspoti

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema wanahitaji nidhamu bora ya kiuchezaji wakati kikosi kikijiandaa kuivaa Yanga Machi 12, kwenye mchezo wa Kombe la FA hatua ya 32 utakaopigwa Uwanja wa KMC Mwenge. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwambusi alisema baada ya mchezo wao wa mwisho wa Ligi Kuu Bara waliolazimishwa suluhu dhidi ya Dodoma Jiji, tayari…

Read More

MAYBELLINE NEW YORK YAZINDULIWA RASMI TANZANIA,WAREMBO WAFURIKA MLIMAN CITY

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV Maybelline New York, bidhaa inayoongoza duniani katika ulimwengu wa vipodozi, inajivunia kutangaza uzinduzi wake rasmi nchini Tanzania, hatua inayofungua msimu mpya wa upatikanaji wa urembo wa hali ya juu kwa wote. Uzinduzi huo umefanyika katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ikiwa ni sherehe ya kujieleza, kujiamini, na ujumuishi, ikiimarisha dhamira…

Read More

Simba Queens yataka rekodi tatu bongo

KOCHA wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema anatamani kuandika rekodi tatu kwenye ligi ya Tanzania ambayo ndio msimu wake wa kwanza kuitumikia. Kocha huyo alijiunga na Simba akitokea Hasacaas Ladies ya Ghana na ukiwa msimu wake wa kwanza kwenye Ligi hajapoteza mchezo wowote akitoa sare moja na JKT Queens na ushindi mechi 11. Akizungumza na…

Read More

Kimenya, Elfadhili wagoma, Juma arejea Prisons

MATOKEO mabaya inayopata Tanzania Prisons, yamewafanya viongozi warudi kwa wachezaji askari Jumanne Elfadhili, Salum Kimenya na Jeremiah Juma waliowaondoa kikosini na kuwapangia majukumu mengine, baada ya kuona uwepo wao utasaidia timu isishuke daraja. Hata hivyo, inaelezwa wachezaji wawili miongoni mwao, wamegoma kurudi kikosini na kutaka msimamo wa awali uheshimiwe juu yao. Katika msimamo wa ligi,…

Read More