RCC Tanga yabariki mgawanyo majimbo matatu ya uchaguzi

Tanga. Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) imeidhinisha mapendekezo ya kugawa majimbo matatu ya uchaguzi ya Kilindi, Muheza, na Handeni Vijijini, kuwa na majimbo mawili kila moja katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa mapendekezo hayo, Jimbo la Kilindi litagawanywa na kuongeza Jimbo jipya la Songe. Handeni Vijijini litakuwa…

Read More

Msajili aipa wiki moja Chadema ijibu barua ya Mchome

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa muda wa wiki moja kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiwe kimewasilisha maelezo kuhusu malalamiko ya mjumbe wa Baraza Kuu wa chama hicho, Lembrus  Mchome. Mchome aliwasilisha malalamiko kwa msajili wa vyama akilalamikia kikao cha Baraza Kuu Taifa kilichofanyika Januari 22, 2025 kwamba…

Read More

Bosi Amsons: Kenya, Tanzania si washindani wa kiuchumi

Dar es Salaam. Tanzania na Kenya huenda zikawa na tofauti katika maeneo kadhaa, ikiwa ni pamoja na siasa, biashara, michezo, na utalii, lakini pia ni marafiki wazuri, imeelezwa. Hilo limewekwa bayana na Mkurugenzi Mtendaji wa Amsons, Edha Nahdi, katika mahojiano yake ya kwanza ya kina tangu kumaliza ununuzi wa kampuni ya Bamburi Cement ya Kenya….

Read More

Sura mbili Mdee, wenzake kusamehewa Chadema

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumsamehe kada wake wa zamani, Dk Wilbrod Slaa na kupokewa tena kwenye chama hicho, wadau wa siasa nchini wamekishauri kuwasamehe pia wabunge wake wa viti maalumu (Uviko-19) ili kukiimarisha chama. Wadau hao wamesema falsafa za 4R za Rais Samia Suluhu Hassan hasa…

Read More

Mkuu wa UNRWA – Maswala ya Ulimwenguni

Bwana Lazzarini alitoa maoni hayo katika media ya kijamii postambayo alibaini kuwa kuzingirwa, ambayo inazuia chakula, dawa, maji na mafuta kuingia katika eneo la Palestina, imedumu kwa muda mrefu kuliko vizuizi vilivyowekwa wakati wa awamu ya kwanza ya vita. Unrwa Mkuu alisema kwamba watu huko Gaza hutegemea uagizaji kupitia Israeli kwa maisha yao. “Kila siku…

Read More